Wakazi wa wilaya ya Muheza Tanga kata ya Ngomeni tunapata changamoto kubwa na hii kampuni ya MAKAZI SOLUTIONS LTD inayopima maeneo yetu

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
7,659
12,283
Heshima kwenu viongozi wa wizara ya ardhi.
Sisi wakazi wa wilaya ya Muheza Tanga kata ya Ngomeni tunapata changamoto kubwa na hii kampuni ya MAKAZI SOLUTIONS LTD inayopima maeneo yetu ili kurasimisha.

Wamekuja na kanuni yao ya kuchukua asilimia 60 kutoka kila shamba eneo na mwenye shamba kuachiwa asilimia 40.

Endapo mwenye shamba/eneo akitaka hizo asilimia 60 wanazochukua wao inabidi alipie pesa nyingi sana.
Na akishindwa kulipia hizo asilimia 60 wao hutafuta wateja na kuuza eneo la shamba.
Hivi huu ndio utaratibu waliopewa na wizara ya ardhi au ni uhuni wao wakishirikiana na baadhi ya watendaji?

Haingii akilini mtu atunze shamba lake zaidi ya miaka 30 halafu anakuja mtu na kuchukua asilimia 60 ya eneo lote la shamba.
Naomba waziri husika na naibu waziri wako mje kuona wananchi tunadhulumiwa mashamba yetu.

Asante.
 
Heshima kwenu viongozi wa wizara ya ardhi.
Sisi wakazi wa wilaya ya Muheza Tanga kata ya Ngomeni tunapata changamoto kubwa na hii kampuni ya MAKAZI SOLUTIONS LTD inayopima maeneo yetu ili kurasimisha.

Wamekuja na kanuni yao ya kuchukua asilimia 60 kutoka kila shamba eneo na mwenye shamba kuachiwa asilimia 40.

Endapo mwenye shamba/eneo akitaka hizo asilimia 60 wanazochukua wao inabidi alipie pesa nyingi sana.
Na akishindwa kulipia hizo asilimia 60 wao hutafuta wateja na kuuza eneo la shamba.
Hivi huu ndio utaratibu waliopewa na wizara ya ardhi au ni uhuni wao wakishirikiana na baadhi ya watendaji?

Haingii akilini mtu atunze shamba lake zaidi ya miaka 30 halafu anakuja mtu na kuchukua asilimia 60 ya eneo lote la shamba.
Naomba waziri husika na naibu waziri wako mje kuona wananchi tunadhulumiwa mashamba yetu.

Asante.
Mbona wamelalamika sana na hakuna lolote toka Kwa Lukuvi. Nasikia kuna kesi mahakamani lkn sidhani kama kweli kuna kitu huko ni kula hela ya watu tu. Wananchi ni wajinga, wajinga manamba descendants, let me put it so, hawana ushirikinano hata kidogo, they are fragmented na ndiyo maana wanageuzwa wanavyotaka.
Why not call, DC, RC, Waziri, Usalama wa Taifa, and the like and narrate this sad story to them?
 
Heshima kwenu viongozi wa wizara ya ardhi.
Sisi wakazi wa wilaya ya Muheza Tanga kata ya Ngomeni tunapata changamoto kubwa na hii kampuni ya MAKAZI SOLUTIONS LTD inayopima maeneo yetu ili kurasimisha.

Wamekuja na kanuni yao ya kuchukua asilimia 60 kutoka kila shamba eneo na mwenye shamba kuachiwa asilimia 40.

Endapo mwenye shamba/eneo akitaka hizo asilimia 60 wanazochukua wao inabidi alipie pesa nyingi sana.
Na akishindwa kulipia hizo asilimia 60 wao hutafuta wateja na kuuza eneo la shamba.
Hivi huu ndio utaratibu waliopewa na wizara ya ardhi au ni uhuni wao wakishirikiana na baadhi ya watendaji?

Haingii akilini mtu atunze shamba lake zaidi ya miaka 30 halafu anakuja mtu na kuchukua asilimia 60 ya eneo lote la shamba.
Naomba waziri husika na naibu waziri wako mje kuona wananchi tunadhulumiwa mashamba yetu.

Asante.
Hayo mashamba mmiliki wake ni wananchi au ni yale mashamba ya katani wananchi walipewa walime tu na wasijenge?

Hawa jamaa Makazi soln kwa sasa hivi wanauza viwanja kuanzia kilapula,ngomeni,mkanyageni na kule machemba.

Bongo kila kitu ni fursa ukizubaa unapigwa.

Afrika ni bara la giza na wale wachache waliopata mwanga(Elimu) ndio wanatupeleka gizani zaidi.
 
Hayo mashamba mmiliki wake ni wananchi au ni yale mashamba ya katani wananchi walipewa walime tu na wasijenge?

Hawa jamaa Makazi soln kwa sasa hivi wanauza viwanja kuanzia kilapula,ngomeni,mkanyageni na kule machemba.

Bongo kila kitu ni fursa ukizubaa unapigwa.

Afrika ni bara la giza na wale wachache waliopata mwanga(Elimu) ndio wanatupeleka gizani zaidi.
Nadhani anauza Mkurugenzi
 
Hayo mashamba mmiliki wake ni wananchi au ni yale mashamba ya katani wananchi walipewa walime tu na wasijenge?

Hawa jamaa Makazi soln kwa sasa hivi wanauza viwanja kuanzia kilapula,ngomeni,mkanyageni na kule machemba.

Bongo kila kitu ni fursa ukizubaa unapigwa.

Afrika ni bara la giza na wale wachache waliopata mwanga(Elimu) ndio wanatupeleka gizani zaidi.
Magufuli alishayatolea kauli kuwa wananchi wapewe mpàka eka 5 bure. Sasa Hawa wanauza
 
Back
Top Bottom