FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Huyu ni mtoto wa meneja wa zamani wa NBC Urambo na mzawa wa Masasi,Ibrahim Salumu Khatau na mama yake karani wa bank ya NBC Isike Tabora na baadae Urambo Bi.Stella Ezekiel,wote ni marehemu sasa
Pia ni ndugu na aliekuwa mkuu wa wilaya ya Lindi na baadae Mafia DrAhamed Khatau
Pia ni ndugu wa mkazi maarufu wa Masasi ndugu Kidevu
Ni msomi aliesomea shule ya msingi Mkomaindo Masasi na baadae chuo cha IFM akichukua kozi ya IT yaani computer,anajua maisha yote ya shida na raha na ni kipenzi cha wengi Urambo na hata mkoani Tabora na singida
Kwenye kampeni ikiwa mtampitisha nawahaidi ataandamana na nguli wa muziki wa bongo fleva na kughani mashairi Rayvan waweza msikiliza kwenye wimbo wa iyena akishirikiana na Diamond
Haji mnara msemaji wa timu ya Simba akiwa kwenye mahafali ktk shule ya Mwema pre school alisema kipaji chake ni mdomo hivyo mkimzuia mtaharibu ila mimi nasema kipaji changu ni kuwa na mwandiko mzuri Tanzania
Instagram:kaukwaju
Pia ni ndugu na aliekuwa mkuu wa wilaya ya Lindi na baadae Mafia DrAhamed Khatau
Pia ni ndugu wa mkazi maarufu wa Masasi ndugu Kidevu
Ni msomi aliesomea shule ya msingi Mkomaindo Masasi na baadae chuo cha IFM akichukua kozi ya IT yaani computer,anajua maisha yote ya shida na raha na ni kipenzi cha wengi Urambo na hata mkoani Tabora na singida
Kwenye kampeni ikiwa mtampitisha nawahaidi ataandamana na nguli wa muziki wa bongo fleva na kughani mashairi Rayvan waweza msikiliza kwenye wimbo wa iyena akishirikiana na Diamond
Haji mnara msemaji wa timu ya Simba akiwa kwenye mahafali ktk shule ya Mwema pre school alisema kipaji chake ni mdomo hivyo mkimzuia mtaharibu ila mimi nasema kipaji changu ni kuwa na mwandiko mzuri Tanzania
Instagram:kaukwaju