Madihani JF-Expert Member Apr 30, 2015 5,972 6,605 Dec 18, 2016 #1 Habari wana jamii? Naona kelele nyingi usiku huu hadi nashindwa kulala,hivi kiserikali lipo vipi. Au ni itikadi kali hawajaribiwi. Wana Ubungo wataelewa wale wanaoishi Kashiramabimbi mtapata majibu tulieni.
Habari wana jamii? Naona kelele nyingi usiku huu hadi nashindwa kulala,hivi kiserikali lipo vipi. Au ni itikadi kali hawajaribiwi. Wana Ubungo wataelewa wale wanaoishi Kashiramabimbi mtapata majibu tulieni.
Madihani JF-Expert Member Apr 30, 2015 5,972 6,605 Dec 18, 2016 Thread starter #3 jerry joshy said: Kelele za nn mkuuu ?? Click to expand... Sielewi kwasababu hawatumii kiswahili,inawezekana wanaye mwambie haelewi kiswahili.
jerry joshy said: Kelele za nn mkuuu ?? Click to expand... Sielewi kwasababu hawatumii kiswahili,inawezekana wanaye mwambie haelewi kiswahili.
No Escape JF-Expert Member Mar 7, 2016 6,663 7,737 Dec 18, 2016 #4 Eti wanataka kuwashinda wale wa kariakoo!
Madihani JF-Expert Member Apr 30, 2015 5,972 6,605 Dec 18, 2016 Thread starter #5 No Escape said: Eti wanataka kuwashinda wale wa kariakoo! Click to expand... Vipi upo Ubungo maana hadi nimekosa usingizi.
No Escape said: Eti wanataka kuwashinda wale wa kariakoo! Click to expand... Vipi upo Ubungo maana hadi nimekosa usingizi.
Madihani JF-Expert Member Apr 30, 2015 5,972 6,605 Dec 18, 2016 Thread starter #6 Hatimae kelele zimeisha
Madihani JF-Expert Member Apr 30, 2015 5,972 6,605 Dec 18, 2016 Thread starter #8 Angelo007 said: Thread zingine ni mfu Click to expand... Sasa wewe upo Lindi utaelewa vipi,mimi nimeweka wazi kuwa wa vijijini hawawezi kuelewa ila wa Ubungo wataelewa au hujui kusoma vizuri. Haya leo usiku kucha kulikuwa na kelele za Waislam na sauti ilikuwa juu sana na siwezi kuelewa walikuwa wanafanya nini kwasababu hawatumii kiswahili.
Angelo007 said: Thread zingine ni mfu Click to expand... Sasa wewe upo Lindi utaelewa vipi,mimi nimeweka wazi kuwa wa vijijini hawawezi kuelewa ila wa Ubungo wataelewa au hujui kusoma vizuri. Haya leo usiku kucha kulikuwa na kelele za Waislam na sauti ilikuwa juu sana na siwezi kuelewa walikuwa wanafanya nini kwasababu hawatumii kiswahili.