Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,292
- 8,203
Wakazi wa Mbeya wanaishi maisha mazuri na yenye furaha kuliko wa wakazi wa Dar es Salaam.
1. Wanaishi kwenye nyumba zao wakati wakazi wa Dar wanaishi kwenye nyumba za kupanga.
2. Asilimia kubwa ya wakazi wa Mbeya wanamahali pakulala wakati wenzangu namimi wa Dar wengine wanalala kwenye mataili na mitalo nyieee.
Kuna takwimu za NBS nimeziona zimenishitua sana. Zimekuwa vice versa. khaaaa
1. Wanaishi kwenye nyumba zao wakati wakazi wa Dar wanaishi kwenye nyumba za kupanga.
2. Asilimia kubwa ya wakazi wa Mbeya wanamahali pakulala wakati wenzangu namimi wa Dar wengine wanalala kwenye mataili na mitalo nyieee.
Kuna takwimu za NBS nimeziona zimenishitua sana. Zimekuwa vice versa. khaaaa