IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,819
Unaweza kukuta wewe ndiye mpumbavu wa kutupwa, yaani wakulima wilaya yoooteee wasione hiyo faida ya huo mfumo? Acha upimbi jombaa..Hao wakazi ni wapumbavu sana,mfumo huo ndio wenye faida kwao kwani hakuna mtu wa kati,wanauza kwa bei ya soko moja kwa moja na pesa zao hulipwa ndani ya masaa 48 tokea kufanyika kwa mnada,narudia tena ni wapumbavu sana wataendelea kulanguliwa hadi mwisho wa dunia kmmzao