Cheko Lamhenga
Senior Member
- Aug 1, 2018
- 165
- 93
Changamoto ya usafiri katika kisiwa cha mafia sasa imefika ukingoni, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeanza kutatua changamoto ya usafiri toka Dar kwenda kisiwa cha Mafia kwa kuanza ujenzi wa boti la kisasa ambalo ujenzi wake unatarajiwa kumalizika mwaka 2020.
Ujenzi wa boti hilo utagharimu Tsh Bilioni 7, Katika kipindi cha ujenzi wa boti mpya Serikali imewaandalia wakazi wa Mafia usafiri wa boti la Azam (Sea bus I) ambao unatarajiwa kuanza mapema mwezi octoba 2018. Wajibu wetu kuombea utekelezaji wa ujenzi huo kwa mmanufaa ya usafiri salama na wa uhakika kwa watanzania wenzetu wa Mafia.
Habari zaidi, soma=> Wananchi wa Mafia tunahitaji usafiri wa uhakika na bei nafuu - JamiiForums
Msikilize Mbunge wa Mafia MBARAKA DAU akielezea
Ujenzi wa boti hilo utagharimu Tsh Bilioni 7, Katika kipindi cha ujenzi wa boti mpya Serikali imewaandalia wakazi wa Mafia usafiri wa boti la Azam (Sea bus I) ambao unatarajiwa kuanza mapema mwezi octoba 2018. Wajibu wetu kuombea utekelezaji wa ujenzi huo kwa mmanufaa ya usafiri salama na wa uhakika kwa watanzania wenzetu wa Mafia.
Habari zaidi, soma=> Wananchi wa Mafia tunahitaji usafiri wa uhakika na bei nafuu - JamiiForums
Msikilize Mbunge wa Mafia MBARAKA DAU akielezea