Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
wadau wanasubiria mkwanja wao tu huku unasema mkuu sio msikivu hili kasikia
hapa lazima kutakuwa na mbayawake, aliyemchukulia.............?, au aliye mind kunyanganywa. Maana nasikia kwake yeye bifu haliishi.