Wakazi wa wilayani Kiteto wametangaza hali ya hatari kwa wakulima wanaotoka nje ya wilaya hyo wanaobebwa na viongozi wa juu serikalini.Kwa mujibu wa taarifa ya habari za ITV saa mbili hii wamehamasishana kubeba silaha siku ya Mwisho ya serikali yakuwataka kuondoka kwenye maeneo yao.