Wakazi wa kijiji cha Mloda kata ya Maka'gwa wilaya Chamwino wamezuia ujenzi wadaraja katika barabara kuu ya Iringa - Dodoma ili kushunukuza wakala wa barabara (Tanroads) mkoa wa Dodoma kuwalipa fidia kutokana na mashamba na nyumba walizobomolewa.
Chanzo: ITV
Chanzo: ITV