CUF Ngangari
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 273
- 51
Wakiongea baada ya kumalizika mkutano wa hadhara wa mwanga community center wamesema kuwa wao wamejitokeza kuja kusikia mashtaka 11 ya Zitto Zuberi Kabwe badala ya kutusomea mashtaka ameongelea ujenzi wa chama sisi hakikutuleta hicho sisi tumekuja kusikia mashtaka ya kijana wetu, wakienda mbali wakazi hao wa mjini kigoma baada ya kumalizika mkutano wakihojiwa na STAR TV walisema wao wanajuwa sababu iliyomfanya Zitto wamvue nafasi zake zote ndani ya chama kuwa ni kutangaza kwake kugombea Uenyekiti na Urais ndani ya Chadema walisema wakazi hao. Wa mjini kigoma. Kwa Mujibu wa Taarifa ya Habari ya STAR TV.