Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 5,834
- 22,736
Kawe beach si no kule kwenye maghorofa yasiyoisha?Huijuwi kawe beach,hata msasani beach yote kawe ile
Ova
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawe beach si no kule kwenye maghorofa yasiyoisha?Huijuwi kawe beach,hata msasani beach yote kawe ile
Ova
Yah ndiyo hiyoKawe beach si no kule kwenye maghorofa yasiyoisha?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Nina miaka km miwili sijatokea huko,majukumu na Hali mbaya ya uchumi nadhani vimechangiaYah ndiyo hiyo
Ova
Mrangi hakuna cha afadhali asee!Kwa taarifa yako Beach chafu ni ya coco
Kawe beach,msasani beach znaafadhali
Ova
Coco beach ilikuwa nzr enzi za miaka ya 80,90Mrangi hakuna cha afadhali asee!
Coco, kawe, msasani zote chafu kinoma
Mi yale maji nafanyaga kukanyaga mpaka mapajani tu siogi!
Beach safi kuliko zote ni Ununio!
Ile safari yenu ya Marekani vp...Wadau wa JF
Niwatakie Kheri ya Christmas
Niende kwenye mada
Sisi Wakazi Wa Jimbo la Kawe tunawasalimu na pia tuwakaribisha sana ndugu zetu wa Majimbo Mengineyo Jijini Dar es salaam mtembelee Beach Mbalimbali zilizopo Jimboni mwetu
Sisi ndugu zenu wa Jimbo la Kawe kwa Desturi siku kama ya leo huwa tunatulia tu majumbani kwetu na hatupendelei sana kutoka na kwenda Beach!
Tunafanya yote hayo ili tuwape Fursa wageni wetu mtembelee na mjionee madhari nzuri zilizopo kwetu!
Karibuni Sana mtembelee vivutio mbalimbali
Tunawapenda
Merry Christmas