Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,006
- 9,872
Wananchi wote wa mkoa wa Dar es salaam wanapaswa kuwa wamevaa Barakoa muda wote hasa katika maeneo yenye msongamano, wanawe na maji tiririka, wakisikia dalili zozote zinazofanana na dalili za Covid 19 wawahi hospitalini Kufanya vipimo" Amos Makala ,Rc Dar es salaam
———-
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makala amewataka Wananchi wake kuvaa Barakoa muda wote hasa katika maeneo yenye msongamano
Pia, amewataka wanawe na maji tiririka ili kupambana na maambukizi ya #COVID19
Mkuu wa Mkoa amewataka Wananchi wanaposikia dalili zozote zinazofanana na dalili za COVID-19 kuwahi hospitalini ili kufanya vipimo
———-
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makala amewataka Wananchi wake kuvaa Barakoa muda wote hasa katika maeneo yenye msongamano
Pia, amewataka wanawe na maji tiririka ili kupambana na maambukizi ya #COVID19
Mkuu wa Mkoa amewataka Wananchi wanaposikia dalili zozote zinazofanana na dalili za COVID-19 kuwahi hospitalini ili kufanya vipimo