Wakazi wa Dar Es Salaam wanakwamisha Mageuzi Tanzania.

:A S shade::yo::lying: :lying::lying: Nimekugongea lying 3 mkuu na shade, na inaelekea wewe ndio mtu wa yo kwa sana. Infact umeongopa halafu umesema kwa upuuzi. Humjui aliyepost thread anatoea wapi umekimbilia kuongea utafikiri hujui kuwaza. hapa ni mahali pa great thinkers bwana.

coming back to Dar. Ukiangalia kwa makini mji kama A-town wanaopenda mageuzi ni vijana, tena hawa haijalisha wana elim gani au fedha kiasi gani wako front line kutafuta mageuzi ya kweli, jambo ambalo ni kinyume sana na hapa Dar. Wengi wa vijana ambao wangependa kuleta mageuzi kwa hapa Dar ni wahanga wa hal ngumu ya maisha, kazi hawana, riziki ya siku inagomba,maisha yanabana kila kona. Kwa hili hata hiyo nguvu ya kwenda front kijana huyu anakosa. Ndani ya kundi hili ndimo wapo wale wafuga ndevu na wavaa pedo pusher ambao wao zaid ya kufundis jihad hawana jingine. ila hili kundi ni hatari kwani siku hizi mtoto mdogo wa 7-9 yrs anaweza akakutoa nishai kwa karate na hili wanafundishwa kwenye chuo. wao wanajihami tu kwa lolote lile.

kibaya zaid wale wanaokula milo 7 kwa siku ni watoto wa vigogo au wa watumish wa umma wa kawaida ambao wao huwez kuwaambia kitu kuhusu magamba wakuelewe, hawa huwa wafuasi sana wa miziki kwenda club na kufuatilia filamu tena kundi hili linajumuisha na wasanii wenyewe ambao siku za kampeni watatunga nyimbo za kuisifu ccm na hata filamu wakiamni kuwa kuwakaribu na ccm ni faida kwao. Wengine ni hawa maponjoro na waarabu ambao wao wakiwa ghorofani basi wanajua serikali ya ccm ndo nzuri, na wanaogopa vyama vingine ka kuhofia kunyang'anywa rasilimali zao bazo wamepokonya wabongo.

kuna kundi kubwa sana la wabuya unga, na machangu hapa dar ambao wao serikali iwepo isiwepo ni sawa wao wanachojali ni stimu zao za mihadarati na urembo wawe kama majini wapate mabwana. hawa akili tu ya kujiwazia wao wenyewe hawana asembuse ya kuwaza juu ya taifa.

ushauri wangu: upinzani uliyaona haya na ukapuuzia mkoa huu lakin sasa inabidi wauamshe ili kuleta mapinduzi ya dhati.

we mla nguruwe acha dharau!
 
Back
Top Bottom