Mtanzatozo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 972
- 1,163
Mh..! ya kweli haya..Dawasa imechukuwa visima vyote vya jumuiya za watumiaji maji mitaani na wameingiza kwenye mtandao wa mabomba ya Dawasa kwa baadhi ya maeneo.
Maji ya Ruvu yakikatika wanafungulia ya visima, huenda hapo mtaa wenu au kata mna mradi wa visima au kisima cha maji wanaunganisha kwenye mtandao wao, ni ngumu kwa wewe kulijuwa hili kama siyo mdau wa ndani sanaa.