Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,445
1.Hili gari hapo chini upande za kushoto uwa linafanya usafiri kuanzia Mbagala Rangi Tatu mpaka Kivukoni Feri.
2.Hilo gari la chini linafanya usafiri kutoka Mbezi kwenda Makumbusho
3.Wale wa Buguruni kwenda Kivukoni Feri huwa wanapanda sana gari hili
4.Hili gari uwa linatoka Kimara kwenda Kawe kule jimboni kwa Mheshimiwa Halima Mdee
5.Wale wanaotoka sijui Tegeta kwa Ndevu na baadhi ya sehemu zingine za Tegeta uwa wanagombania sana huu usafiri kwenda Ubungo
6.Wale wakazi wa Kimara kwenda Kivukoni Feri huu ndio usafiri wao
2.Hilo gari la chini linafanya usafiri kutoka Mbezi kwenda Makumbusho
3.Wale wa Buguruni kwenda Kivukoni Feri huwa wanapanda sana gari hili
4.Hili gari uwa linatoka Kimara kwenda Kawe kule jimboni kwa Mheshimiwa Halima Mdee
5.Wale wanaotoka sijui Tegeta kwa Ndevu na baadhi ya sehemu zingine za Tegeta uwa wanagombania sana huu usafiri kwenda Ubungo
6.Wale wakazi wa Kimara kwenda Kivukoni Feri huu ndio usafiri wao