Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,885
Maana miaka ya 1800 Sultani alianzisha kilimo cha karafuu Zanzibar. Biashara hii na ile ya utumwa ilikuwa ya pesa nyingi. Mwishowe akaamua yeye mwenyewe kuhamia Zanzibar.
Hapo waarabu kibao kutoka Oman wakahama naye. Wakaanzisha mashamba ya karafuu na kuweka watumwa kibao kufanya kazi. Hata leo wakazi wengi unakuta wanaasili ya wanyamwezi, wayao, hadi wamanyema kutoka Congo. Mababu zao walikuwa watumwa.
Sasa wakazi wa asili kabisa wa Zanzibar ni watu gani? Lugha yao ni ipi? Au kulikuwa hakuna watu, maana visiwa vingi vya bahari ya hindi vilikuwa haviishi watu miaka watu wameanza kusafiri huku na huko baharini.
Hapo waarabu kibao kutoka Oman wakahama naye. Wakaanzisha mashamba ya karafuu na kuweka watumwa kibao kufanya kazi. Hata leo wakazi wengi unakuta wanaasili ya wanyamwezi, wayao, hadi wamanyema kutoka Congo. Mababu zao walikuwa watumwa.
Sasa wakazi wa asili kabisa wa Zanzibar ni watu gani? Lugha yao ni ipi? Au kulikuwa hakuna watu, maana visiwa vingi vya bahari ya hindi vilikuwa haviishi watu miaka watu wameanza kusafiri huku na huko baharini.