Wakazi wa asili wa Zanzibar ni watu gani?

Sawa, sikatai

Ila ninyi huwa mnshindwa kutofautisha ugunduzi na urasimishaji

Hakuna Mgeni aliyegundua landscape yoyote aliyoikuta Afrika

Walisafiri ndio lakini walivikuta na walikuta Watu wakihusiana navyo na waafrika waliviita kwa majina ya asili yao kabla Mzungu hajafika

Walichofanya wao ni kurename na kurasimisha basi

Ni kama kuambiwa John Rebman aligundua Mlima Kilimanjaro....HOW?
Tulikuwa tunaongelea Watu wa Asili ya Zanzibar na kwa taarifa yako kuwa Mwafrika sio lazima uwe Mbantu.

Angalia Visiwa vya Socotra vilivyopo kwenye pembe ya Afrika lakini watu wake wa asili ni Waarabu wa yemen.
 
Zanzibar haina watu wa asili wote ni wahamiaji (mabaharia) nikisiwa kilichotumiwa na wavuvi kupumzika, ndio maana Zanzibar haina wenyewe utasikia tu Wamakunduchi hao wanatoka Makunduchi mkoa wa Kaskazini, Wapemba wanatoka Pemba, Watumbatu kuna wanyamwezi ,Wamalawi,Wanyamwezi,Wakongo,Wangoni, Wakurya,Waarabu,Wacomoro,Wachina,Wahindi, Wazaramo,Wamakonde nk.
sio rahisi namna hiyo rudi nyuma kidato cha tatu utakutana na jibu la swali hili kutoka kwa marcopolo
wakazi wa kisiwa hiki walikuwa wakilimi, wenye Mungu wao, utamaduni wao na rugha yao... baadhi ya majina ya ndizi zao ni kama Mumiani, sukari na mkono wa tembo...

hii ni kabla ya ujuo wa seydina seyyid saiiiid
 
Yote kwa yote watanganyika kule siyo kwenu, taifa ya zanzibar likijitenga wote mtatakiwa kuondoka.
 
Asili ya wazanzibar ni wazanzibar mwenyewe tu? ukisemea asili hakuna mwenye asili ya Tanganyika?.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom