Huyu Zizi ni stress zinamsumbua ama nini..Mbona kama anapoteza siku hizi..
Mapenzi mabaya sana mkuu!God zila ni mkali sana ila sijui kapatwa na nini
ExactlyGodzilla tumepoteana siku hizi, sijui ni zile stress za kuachwa au??
Asije akafika kwenye Poda tu
Shukrani mkuu, huwa nayatafta sana haya maneno kwenye ule wimboNigger don't be mad men. It is classic... Ji ji ji...
Huyu jamaa kaisha kinoma.
Ww pacha wangu vpExactly
Una maana gani mkuu?Ww pacha wangu vp