kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,462
- 5,857
Yupo sahihi kivipi?
Usinichoshe akili kwa maswali ya kijinga..kama huelewi si urudie kusoma tena!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo sahihi kivipi?
washkaji zake huko magetoni wako kiasi gani,never underestimate muziki wake huyu afande unae mtetea hapa asinge komaa kumjibu sasa,kwakuwa afande anajua wakazi ni nani ndomana kakimbilia kurusha madongo yakeHuyo jamaa naona anajiona msanii mkubwa wakati nyimbo zake zinaishia kusikilizwa geto na washkaji zake tuu..asilazimishie umaarufu ..afande licha ya bangi zake katika hili yupo sahihi
Usinge koment kama humaindi maswaliUsinichoshe akili kwa maswali ya kijinga..kama huelewi si urudie kusoma tena!
Kijana wa KaziWakazi ndo nani
Hao wanaojiita wana technical lyrics wanarap utoto tu na kufurahisha masela kwa 'mapanchaline', watu wa kusikilizwa ni hilo kundi la kina profesa jay, muongeze na Jay Mo wa zamaniEverybody is entitled to his/her opinion.Wakazi akiwa XXL alisema afande sio mzuri kwenye lyrical technicality.
Kwangu afande sele ni sense lyricist,kwangu namuweka kwenye kundi moja na kina professor jay,solo thang wa kipindi like.Uwa wanaiwakilisha jamii to the fullest,yani ni wasanii ambao unaweza kukaa na wazazi wako mkasikiliza nyimbo zao.
Kuhusu technical lyricists,hawa ndo wasanii wangu bora.
Nikki mbishi
One the incredible
Sterio singasinga
Said
P the Mc
Wakazi is an average rapper for me.Nakubaliana na Adam Mchomvu alivyomwambia kidogo sasa hivi ameimprove.
Hapana wakazi ni vijana wa kaziKijana wa Kazi
hahaha wingi na umoja au sio....Hapana wakazi ni vijana wa kazi