Wakati wowote kuanzia sasa Watanzania wataanza kufukuzwa Kenya. Mshahara wa dhambi ni mauti

Wajaribu ndo watajua Tanzania Ndo Baba Wa East Africa
Kwa wewe ambaye hujawahi kutoka nje ya Tanzania huwezi kumwelewa mleta mada...

Rais wetu angekuwa mtu wa kutembembea angajua umhumi wa nchi kushirikiana.

Hii ndio gharama ya kuchagua viongozi washamba wanawaza ndani ya mipaka nchi tu...
 
WAcha upuuzi wewe kwa Akili Yako Unadhani Rahisi kiivyo
Kenya atapoteza zaidi kuliko sisi japo Kila upande una Faida na upande mwingine
Kenya ni chuki tu
walizoea Miaka nenda Rudi wao kuigeuza Tanzania shamba la bibi
Ilikuwa kila kitu Made in Kenya
Madini yapatikanayo Tanzania Ajabu Kenya inakuwa juu kimauzo
Hali imekuwa tofauti.
Vitu wanavyo lalamikia Kufanywa na Watanzania ni vitu vyahali ya chini mno Kabechi!!

Hii ubaguzi hata Tanzania unafanywa na ccm. Hivyo hata yakitokea huko Kenya ni muendelezo tu.
 
Tutaondoka Kenya, ila Wakenya msilie
Kenya hawawezi kuathirika kwa Chochote bro, sana sana Waalimu wanaofanya kazi Tanzania ndiyo wataathirika na ni wachache sana, Watanzania wanaofanya biashara Kenya ni Mamilioni. Ni Jambo baya sana Litatokea.
 
Watanzania na wakenya, nani aliyehania kwa mwenzake kwa idadi kubwa?
Wakenya wanataka waje hapa kama wanaenda Kisumu. Wewe unaweza kufanya hivyo Kenya?
... hoja ya mleta mada uliyem-quote ni ku-save maisha ya watanzania walioko Kenya just in case anything happens no matter how may they are. Kwa majibu yako unamaanisha ni sawa tu hata wakiuwawa as long as we have access to kill more Kenyans than they will do for Tanzanians. Mawazo ya ajabu kabisa! Hatuhitaji hata damu ya mtu mmoja imwagike.

Nategemea Kabudi awe kwenye ndege muda huu akielekea Nairobi ku-resolve hii issue before it becomes too late.
 
Kwanza hata huu ugomvi wa Viongozi hawa wawili hauna manufaa yoyote kwa Wananchi wa pande zote mbili.
 
Kwa wewe ambaye hujawahi kutoka nje ya Tanzania huwezi kumwelewa mleta mada...

Rais wetu angekuwa mtu wa kutembembea angajua umhumi wa nchi kushirikiana.

Hii ndio gharama ya kuchagua viongozi washamba wanawaza ndani ya mipaka nchi tu...
We ambae sio mshamba umefanya kipi cha maan
 
... hoja ya mleta mada uliyem-quote ni ku-save maisha ya watanzania walioko Kenya just in case anything happens no matter how may they are. Kwa majibu yako unamaanisha ni sawa tu hata wakiuwawa as long as we have access to kill more Kenyans than they will do for Tanzanians. Mawazo ya ajabu kabisa! Hatuhitaji hata damu ya mtu mmoja imwagike.

Nategemea Kabudi awe kwenye ndege muda huu akielekea Nairobi ku-resolve hii issue before it becomes too late.
Usishangae Mkuu, hawa ndiyo aina ya Mbuzi tunapoishi nao. Akili zao ni ndogo sana. Hajui kwamba ugomvi wowote baina ya Kenya na Tanzania hakuna yeyote atakaenufaika.
 
Kuna Mtu wangu wa karibu anafanya biashara Kenya, yeye ni Mtanzania. Anasema kwa sasa hali siyo shwari kabisa, wanafanya biashara kwa wasi wasi mkubwa wakihofia kuvamiwa na Magenge ya Wahuni, hawa inaonekana Kama ni Magenge ya Wahuni lakini ukweli ni kwamba ni watu walioandaliwa kufanya hayo ambayo yatafanyika.

Nimesikiliza pia Bunge la Kenya, baadhi ya wabunge wakimuunga Mkono Jaguar kwa kauli zake za kuwafukuza wageni wote wanaofanya biashara Kenya.

Wabunge wameonyesha Chuki za wazi wazi kwa Serikali ya Tanzania iliyo Madarakani sasa. Wamekumbusha juu ya Vifaranga vya Kenya vilivyoteketezwa na Moto wakati Vikitaka kuingia Tanzania, wamekumbusha Juu ya Ngombe zao Kukamatwa na kutaifishwa na Tanzania. Pia wameongelea Meneja mmoja mwanamke alitekataliwa na Serikali ya Tanzania kuwa Meneja wa Vodacom.

Wamelalamikia juu ya Maziwa ya kenya kutokuruhusiwa kuingia Tanzania pamoja na Mambo mengi Sana. Na hii inaonekana hata kwa wao kusema wageni wanaofanya biashara Kenya wanatakiwa Kuondoka, hao wengine ni Geresha tu, ila Anayelengwa Haswa Ni Mtanzania.

Sasa ni Vema sana kwa viongozi wetu wanapotuongoza wawe wanatumia Busara sana ktk kutuongoza. Kwa Sababu, maamuzi Yao yasiyo na Busara yatawaingiza Watanzania wenzetu Ktk dhiki kubwa sana pamoja na Hatari kubwa sana. Kuna Mengi Mabaya sana yatawatokea Watanzania wanaoishi Kenya. Viongozi wetu wametujengea uadui mkubwa sana na majirani zetu Wakenya. Mimi sijui wao Wananufaika nini, na uadui Huu. Mshahara wa Dhambi ni Mauti.

Mkuu unategemea nini kutoka kwa Jiwe?

Nothing!
 
aisee me nikiongea Kwa mtazamo wangu pasipo shabikia upande wote ule ni ivi. kama jirani haya mambo yasuluhishiwe mapema cio fresh majirani kugombana. hata ivo kenya imechukua hatua ya kumkamata jaguar. ingawa sijasikia kukamatwa Kwa mtu yoyote yule badaya ile tukio la kuchoma moto vifaranga na kupiga mnada ngombe za kenya.heshima uwepo upande zote mbili cio tu upande moja. sawa jaguar kakosea Kwa kutaja watz na waganda angeongelea tu kuhusu wachina.niwaombe tu watu wapunguze chuki mtandaoni.
 
Jaguar ni mropokaji kama Bashite, isipokiwa serikali ya Kenya iko makini imemkamata ili kuepuka migogoro ya ki-diplomasia.
Huku tulikuwa na Nape, Bashite, Musiba, Bashiru, Prof. Jalalani na mkuu wao Jiwe
Baada ya kukamatwa kwa Jaguar si umeona pia kuna Maandamano ya wanaomuunga Mkono, polisi wamejaribu kuwatawanya na Mabomu ya Machozi, lakini ujumbe wao umefika. Kwamba Jaguar Ana waunga Mkono wengi.. Hili jambo ni Hatari sana kuliko Viongozi wetu wanavyolichukulia.
 
aisee me nikiongea Kwa mtazamo wangu pasipo shabikia upande wote ule ni ivi. kama jirani haya mambo yasuluhishiwe mapema cio fresh majirani kugombana. hata ivo kenya imechukua hatua ya kumkamata jaguar. ingawa sijasikia kukamatwa Kwa mtu yoyote yule badaya ile tukio la kuchoma moto vifaranga na kupiga mnada ngombe za kenya.heshima uwepo upande zote mbili cio tu upande moja. sawa jaguar kakosea Kwa kutaja watz na waganda angeongelea tu kuhusu wachina.niwaombe tu watu wapunguze chuki mtandaoni.
Ni kweli Mkuu.
 
Back
Top Bottom