Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,985
Kutokana na mwenendo wa sasa wa hawa watu na mwenendo binafsi wa mheshimiwa sana, sitashangaa kuona hayo yote niliyoyataja au baadhi yakitokea katika siku chache zijazo.
Hata hivyo,nawashauri ndugu zangu wa huko kusini kujipa muda wa kuona ni jinsi gani ahadi hizi tamutamu zitakavyotekelezwa.
Wasubiri kuona haya;
Je; bei iliyotajwa ndio itatumika katika kununua mazao yao?
Je,kila mwenye mazao, mazao yake yote yatanunuliwa?
Je,ni kweli mazao yatanunuliwa kwa maana ya kwamba hakuna kubadili gia angani?
Mwisho,ikitokea wametekeza ahadi zao, basi hela watayopata msimu huu nawashauri waitumie vizuri maana msimu ujao mambo yanaweza kuwa tofauti kabisa.
Msijenge imani sana na watu wanaofanya maamuzi huku wakionekana kutokujipanga maana inaweza kuwagharimu.
Hata hivyo,nawashauri ndugu zangu wa huko kusini kujipa muda wa kuona ni jinsi gani ahadi hizi tamutamu zitakavyotekelezwa.
Wasubiri kuona haya;
Je; bei iliyotajwa ndio itatumika katika kununua mazao yao?
Je,kila mwenye mazao, mazao yake yote yatanunuliwa?
Je,ni kweli mazao yatanunuliwa kwa maana ya kwamba hakuna kubadili gia angani?
Mwisho,ikitokea wametekeza ahadi zao, basi hela watayopata msimu huu nawashauri waitumie vizuri maana msimu ujao mambo yanaweza kuwa tofauti kabisa.
Msijenge imani sana na watu wanaofanya maamuzi huku wakionekana kutokujipanga maana inaweza kuwagharimu.