Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,887
- 143,983
Kama headingi inavyojieleza,hivi ndivyo watu hawa wanaweza kufanya wakati wowote ule kuanzia sasa lengo likiwa ni kujaribu kusafisha hali ya hewa na baadae watoke hadharani na kupiga picha ya pamoja lengo likiwa ni kupeleka ujumbe kwa umma kuwa hali ya mambo ndani ya chama ni shwari ingawa si kweli.
Vile vile msije kushangaa kusikia walalamikaji wakigeuziwa kibao kwa kututomia vikao halali vya chama kushughulikia malalamik yao na badala yake wametoa malalamiko yao nje ya utaratibu wa chama hivyo nao wao kuishia kupewa onyo.
Hata hivyo,niwaambie tu kuwa kikao hico,endapo kitafanyika,itakuwa ni hadaa tu ya kisiasa na kujaribu kupeana matumaini ambayo hayapo na kikao kikiisha na wakishatawanyika, malumbano na minyukano vitaendelea chini kwa chini kwani ufa teyari ni mkubwa na vinyongo vya muda mrefu vimetamalaki japo watu walikuwa kimya ila wakiwa na maumivu rohoni.
Mwacheni Jiwe na vibaraka wavune walichopanda kwani huu ndio wakati wenyewe.
Vile vile msije kushangaa kusikia walalamikaji wakigeuziwa kibao kwa kututomia vikao halali vya chama kushughulikia malalamik yao na badala yake wametoa malalamiko yao nje ya utaratibu wa chama hivyo nao wao kuishia kupewa onyo.
Hata hivyo,niwaambie tu kuwa kikao hico,endapo kitafanyika,itakuwa ni hadaa tu ya kisiasa na kujaribu kupeana matumaini ambayo hayapo na kikao kikiisha na wakishatawanyika, malumbano na minyukano vitaendelea chini kwa chini kwani ufa teyari ni mkubwa na vinyongo vya muda mrefu vimetamalaki japo watu walikuwa kimya ila wakiwa na maumivu rohoni.
Mwacheni Jiwe na vibaraka wavune walichopanda kwani huu ndio wakati wenyewe.