bulicheka 3
JF-Expert Member
- Feb 6, 2019
- 599
- 556
Nimepita nimeona maandalizi ya mkutano pale makao makuu ya ccm mavyuma yamesha pangwa kuzuia eneoHicho kikao anaitisha nani?
Nimepita nimeona maandalizi ya mkutano pale makao makuu ya ccm mavyuma yamesha pangwa kuzuia eneoHicho kikao anaitisha nani?
We ulikuwa wapi? Hujalalamika musiba (mkristo kafiri) anawatukana waislamu makamba na kinana, au umeacha mitazamo yako ya udini?Ulitaka wakifute chama?
Unaonekana juha tu, mwenyewe unaona umeandika cha maana kweli.We ulikuwa wapi? Hujalalamika musiba (mkristo kafiri) anawatukana waislamu makamba na kinana, au umeacha mitazamo yako ya udini?
Akili tumia wewe.Tatizo hutumii akili wewe.
Tangu awamu hii imekutupia vilago naona akili zimekuruka
Hii ngoma si njema!! Unless amshugulikie dogo fasta vinginevyo kigoda ki akwenda kubetuliwa..Ccm kadri itikisikavyo ndivyo iimarikavyo!
Wazee wa Chama watamwambia Mkuu kuwa hofu anayotenegenezewa na Wahalifu lengo lake ni kumuweka mbali na Wastaafu ili mwishowe abaki peke yake ili wamyumbishe
Rais ataeleweshwa na Inshallah ataelewa
KichaaaYule mwenyekiti wao pamoj na kujinasibu ni kichaa ila atakuwa kalogwa na bashite na msiba
KichaaSahau kwa sasa... Kuna mkutano wa kimataifa mjini siku kadhaa zijazo...!
Haya ni maoni yakoCcm kadri itikisikavyo ndivyo iimarikavyo!
Wazee wa Chama watamwambia Mkuu kuwa hofu anayotenegenezewa na Wahalifu lengo lake ni kumuweka mbali na Wastaafu ili mwishowe abaki peke yake ili wamyumbishe
Rais ataeleweshwa na Inshallah ataelewa