Wakati watumishi wa Kisarawe walio ajiriwa kuanzia mwaka 2012 hawajawahi kupanda madaraja lakini Mbeya Jiji wamepanda wote hadi wa mwaka 2013.

Wivu tu unakusumbua. Mbeya na Kisarawe wapi na wapi? Wa Kibiti, Rufiji, Mafia, Bagamoyo, Chalinze, Kibaha na Mkuranga ndio wenzio wa kuhoji sio huko.

Sent using my Nokia Torch
 
Aisee
Wivu tu unakusumbua. Mbeya na Kisarawe wapi na wapi? Wa Kibiti, Rufiji, Mafia, Bagamoyo, Chalinze, Kibaha na Mkuranga ndio wenzio wa kuhoji sio huko.

Sent using my Nokia Torch
 
Ninafikiri hata wahitimu wa fani ya ualimu masomo ya sanaa hawapaswi kutengana na azimio la watumishi.Tangu mwaka 2015 hadi hawa wanaotarajia kuhitimu mwakahuu wanaisoma vilivyo ile namba ya wanyongaji.Umoja,ufahamu,kujitambua,kujitoa mhanga na mshikamano ndizo nyenzo.Tatizo la hawa watu,wengi ni wabinafsi na hawajitambui kiasi cha kuona kuwa wanayoyapitia hayana sababu zozote za kutokea badala yake ni roho mbaya,matumizi mabaya ya madaraka, na ubaguzi wa wazi.
 
Azimio gani hilo?
Ninafikiri hata wahitimu wa fani ya ualimu masomo ya sanaa hawapaswi kutengana na azimio la watumishi.Tangu mwaka 2015 hadi hawa wanaotarajia kuhitimu mwakahuu wanaisoma vilivyo ile namba ya wanyongaji.Umoja,ufahamu,kujitambua,kujitoa mhanga na mshikamano ndizo nyenzo.Tatizo la hawa watu,wengi ni wabinafsi na hawajitambui kiasi cha kuona kuwa wanayoyapitia hayana sababu zozote za kutokea badala yake ni roho mbaya,matumizi mabaya ya madaraka, na ubaguzi wa wazi.
 
Wenye uelewa na hizi taratibu tusaidieni na sisi tuelewe.

Inakuwaje Halmashauri zingine zinaendelea kupandisha watumishi wake hadi wameanza wa 2014 baada ya kumaliza wa 2012 na 2013 lakini Halmashauri zingine hazipandishi? Kuna halmashauri hata wa 2012 hawajapandisha hata mmoja, hizi zinahudumiwa na serikali za nchi jirani?
 
Wenye uelewa na hizi taratibu tusaidieni na sisi tuelewe.

Inakuwaje Halmashauri zingine zinaendelea kupandisha watumishi wake hadi wameanza wa 2014 baada ya kumaliza wa 2012 na 2013 lakini Halmashauri zingine hazipandishi? Kuna halmashauri hata wa 2012 hawajapandisha hata mmoja, hizi zinahudumiwa na serikali za nchi jirani?
Pasua kichwa
 
Wapo wapo tu pale Saduka,Yule dada Fatuma na Limbe.Kuna jamaa wa 2013 hajawai panda akaenda Dodoma Tamisemi akaambiwa tatizo ni utumishi hawapeleki taarifa kwa wakati licha ya kukumbushwa Kila wakati.Mh Jafo yupo Wizara hiyo lakini Jimbo lake Walimu hawapandi madaraja.Hapo utumishi wapangiwe kazi nyingine kwa kweli.
 
Back
Top Bottom