sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,522
- 7,368
Wakati watu wanaendelea kumpiga vijembe Baba Levo na kumuita majina ya ovyo. Yeye anageuza kejeli na matusi kuwa pesa.
Amesaini dili mpya tena leo, wale wajuzi wa kila kitu mnaojua kufanya uchambuzi mje mtuambie kwa nini kelele za Baba Levo zinaleta pesa, ila wale waliotulia na kufanya muziki mzuri wanakufa njaa.
Amesaini dili mpya tena leo, wale wajuzi wa kila kitu mnaojua kufanya uchambuzi mje mtuambie kwa nini kelele za Baba Levo zinaleta pesa, ila wale waliotulia na kufanya muziki mzuri wanakufa njaa.