Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 719
Ni jambo tofauti kidogo huku wote tukiwa wanadamu tu,wenzetu hawana utani na maisha yao hadi wanafanikiwa kurusha chombo anga za juu sana kiasi cha mile bilion 6,kinatua leo baada ya kusafiri miaka kadhaa.
Wenzetu hawako katika enzi za kufoge mambo ili kundi fulani liendelee kukaa madarakani.Wako makini kuinua maisha yao.ukiona watu wanatumia akili kutaka katiba iwapendelee wao tu wabakie wanazunguka wenyewe madarakani,hapo hakuna maendeleo ya kutarajiwa.
Ni bahati mbaya sana hakuna wa kufikiri kuinua maisha ya jamii kwa ujumla,walio madarakani mawazo yao ni kuwaza nani jamaa yetu awe kiongozi bila kujali ana uwezo na maslahi kwa umma kwa ujumla,inasikitisha!
Wenzetu hawako katika enzi za kufoge mambo ili kundi fulani liendelee kukaa madarakani.Wako makini kuinua maisha yao.ukiona watu wanatumia akili kutaka katiba iwapendelee wao tu wabakie wanazunguka wenyewe madarakani,hapo hakuna maendeleo ya kutarajiwa.
Ni bahati mbaya sana hakuna wa kufikiri kuinua maisha ya jamii kwa ujumla,walio madarakani mawazo yao ni kuwaza nani jamaa yetu awe kiongozi bila kujali ana uwezo na maslahi kwa umma kwa ujumla,inasikitisha!