Wakati Watanzania ‘ tukijidanganya ‘ kwamba Wachezaji wetu wa Serengeti Boys ni wazuri ‘ Mawakala ‘ bado hawajaona anayefaa.

Yule kipa ni hamna kitu, hata ukiitisha kombaini tu ya michezo sekondari Dsm tu utapata makipa hata zaidi ya watano wenye uwezo zaidi yake. Inashangaza eti ndio kipa wa Tz nzima, mimi naamini yule kipa ana ndugu TFF au benchi la ufundi anayembeba maana kwenye mechi zote hata yale mashindano ya juzi ya Rwanda alikuwa anaonekana ni kimeo ila bado yupo tu.

Mwisho, hata kocha wa Serengeti boys amekiri kipa ni tatizo la wazi ila bado naamini Tz tunaingia semi final na World Cup. Uganda na Angola wote wanafungika na hakuna yoyote mwenye uwezo wa kumfunga Nigeria kati yao.
Hayo matumaini ya mdomoni ndio huwa yanatuaminisha tofauti na uhalisia, wewe una mpira gani wa kumfunga uganda au angola? Tuache kupeana matumaini, mpira ni uwezo kwanza tumeingia kama waandaaji tu lakini hao wenzetu wamepigania hizo nafasi hadi kufuzu!! Kwanini hatutaki kukubali uwezo wa wenzetu!! Kwenye tp mazembe watu walisema jamani tukubali wale wanatuzidi, anaibuka mtu eti tp mazembe ilikuwa ile ya kina samata!!! Baada ya kipingo ohhh, jamaa wako juu ki uwezo!! Ukiangalia mpira wa uganda na angola wa jana unaona kabisa ni watu wanaojua nini wanafanya!!! KUTANA NA TIMU BORA NDIO UTAJUA UBORA WAKO
 
Saa nyingine naona tunatumia nguvu nyingi na fedha nyingi kujiaminisha kuwa tunaweza soka lakini kiukweli hatuwezi. Kuwa na wachezaji kama sammata na msuva bado sii garantee lakini hata maombu ya wachezaji wetu hawna sifa za kimataifa
 
Saa nyingine naona tunatumia nguvu nyingi na fedha nyingi kujiaminisha kuwa tunaweza soka lakini kiukweli hatuwezi. Kuwa na wachezaji kama sammata na msuva bado sii garantee lakini hata maombu ya wachezaji wetu hawna sifa za kimataifa
Zambia walichukua AFCON na Hawa wakina Kalaba. . NIGERIA walichukua AFCON na local players wakina Musa.. Tuache uwoga
 
Hayo matumaini ya mdomoni ndio huwa yanatuaminisha tofauti na uhalisia, wewe una mpira gani wa kumfunga uganda au angola? Tuache kupeana matumaini, mpira ni uwezo kwanza tumeingia kama waandaaji tu lakini hao wenzetu wamepigania hizo nafasi hadi kufuzu!! Kwanini hatutaki kukubali uwezo wa wenzetu!! Kwenye tp mazembe watu walisema jamani tukubali wale wanatuzidi, anaibuka mtu eti tp mazembe ilikuwa ile ya kina samata!!! Baada ya kipingo ohhh, jamaa wako juu ki uwezo!! Ukiangalia mpira wa uganda na angola wa jana unaona kabisa ni watu wanaojua nini wanafanya!!! KUTANA NA TIMU BORA NDIO UTAJUA UBORA WAKO
Serengeti wanahitaji kuwafunga Uganda tu j5 Hiyo ndio mechi muhimu kwao. Angola atafungwa nyingi zaidi na Nigeria hivyo sisi tutahitaji draw tu tukikutane naye mechi ya mwisho.

Hili kundi tunapita na world ndio tushaingia tunatambau kuna watanzania hawaamini uzuri wowote wa chochote kutoka Tanzania ila ndio hivyo sasa tunapita na World Cup ya vijana tunaingia.
 
mechi ya angola na uganda nimeiona kusema ukweli hatuna uwezo wa kumfunga si angola wala uganda na nijeri kwa angola anaweza kalishwa. kwenye hili kundi nawapa nafasi nigeri na angola sisi tutakuwa wa mwisho kwa point 1 (draw na uganda) ama tuchakazwe mazima kama kaka zetu mikia fc
Huyo Angola alikula kichapo na hao Serengeti boys kwenye COSAFA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kevin anaweza. . Kwa uzoefu wangu wakuona tournament za watoto Ulaya . . kevin anaweza kwenda Academy yoyote Ulaya na wakamchukua. Umesema anacheza na jukwaa . Ana miaka 16 tu. . Makocha wanauwezo wa kumtengeza ndani ya miaka 3..kwangu Kevin ni zaidi ya Samatta. . . Sky is the limit
Kuna mawakala wamesha mkubali tayari. Aliyekua wakala wa Etoo yupo bongo amesema amemkubali toka alivyo muona uturuki mpaka aka mwita "the new Etoo". Kama wazungu mbona amefaulu trials huko Denmark

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo matumaini ya mdomoni ndio huwa yanatuaminisha tofauti na uhalisia, wewe una mpira gani wa kumfunga uganda au angola? Tuache kupeana matumaini, mpira ni uwezo kwanza tumeingia kama waandaaji tu lakini hao wenzetu wamepigania hizo nafasi hadi kufuzu!! Kwanini hatutaki kukubali uwezo wa wenzetu!! Kwenye tp mazembe watu walisema jamani tukubali wale wanatuzidi, anaibuka mtu eti tp mazembe ilikuwa ile ya kina samata!!! Baada ya kipingo ohhh, jamaa wako juu ki uwezo!! Ukiangalia mpira wa uganda na angola wa jana unaona kabisa ni watu wanaojua nini wanafanya!!! KUTANA NA TIMU BORA NDIO UTAJUA UBORA WAKO
Unajua Serengeti boys ni mabingwa wa cosafa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo Ajax, PSG na Barcelona ni za hapa hapa Tandale Dar es Salaam au ni zile za Ulaya ambazo nazijua Mimi kuwa hazina utaratibu wa kuchukua Wachezaji ' Takataka ' kutoka baadhi ya nchi ambazo zinapambana Kuendelea ambazo nyingi ziko katika Jangwa la Kusini mwa Sahara?
Huyu jamaa ata sikuelewagi. Ww utakuwa msomali bila shaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawavunja moyo ila nimewasilisha tu ukweli wa Mawakala huwa hawa tunaowasifia hawajui Mpira kama ambavyo Media za Tanzania zinavyohangaika na kujitahidi Kutuaminisha hivyo. Hakuna Watu ninaowakubali na kuwaamini hasa kwa kuwa Jicho la Kuchunguza, Kutathimi, Kuchambua na kusema Ukweli na Uwazi wote kama Wazungu Mkuu na katika 100% ukiona Mzungu amekosea ni kwa 5% tu ila zote 95% huwa wako sahihi.
wao ni mawakala ambao wamebase kwenye professionalism maana wakichukua mabua hawatapata pesa so lazima watumie vigezo vinavyohitajika kwa umakini sio sisi tunaosifia ilimradi liende
 
hawa ni vijana under17 si sahihi kuwaangalia kwa jicho sawa na lile linalowaangalia hazard, salah coutinho. Bado wananafasi kubwa ya kurekebishwa kiufundi na kuwa na ushindani kama hao mawakala walivyong'amua. Kikubwa mpk sasa wanamuunganiko mzuri kama team, na hakuna tofauti yao na wale vijana wa Nigeria mpk ngazi hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mechi ya angola na uganda nimeiona kusema ukweli hatuna uwezo wa kumfunga si angola wala uganda na nigeria kwa angola anaweza kalishwa. kwenye hili kundi nawapa nafasi nigeria na angola sisi tutakuwa wa mwisho kwa point 1 (draw na uganda) ama tuchakazwe mazima kama kaka zetu mikia fc
Nilisema hao madogo watachakazwa tu hawana mpira wa maana ila kelele kama nyau fc
 
Nilichokiona tatizo kubwa kwa vijana ni tamaa ya haraka ya maendeleo,ubinafsi umewajaa uwanjani kisa wanajua kuna mawakala wanawaangalia.
 
Back
Top Bottom