Wakati Watanzania ‘ tukijidanganya ‘ kwamba Wachezaji wetu wa Serengeti Boys ni wazuri ‘ Mawakala ‘ bado hawajaona anayefaa.

mechi ya angola na uganda nimeiona kusema ukweli hatuna uwezo wa kumfunga si angola wala uganda na nijeri kwa angola anaweza kalishwa. kwenye hili kundi nawapa nafasi nigeri na angola sisi tutakuwa wa mwisho kwa point 1 (draw na uganda) ama tuchakazwe mazima kama kaka zetu mikia fc
Hujui mpira ww, tutakutana j5 mkuu Uganda atakalishwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sanchez naye kaaminiwa na nani?
Mbona wote uliowataja wametemwa na wazungu na wakaenda kuaminiwa na wazungu? Au kuna yeyote alikuja kucheza Africa!!!!

WAPO WANANIELEWA MPAKA HAWAJIELEWI
kuna wazungu weupe kuanzia ngozi hadi akili...

Sent usingJamii Forums mobile app
 
nilitegemea utatujuza ktk hiyo mechi mbali na kipa wa tz ni wachezaji gani wengine walioonekana wanaucheza na kuujua mpira ktk timu pinzani. kwa mimi naona umewakosoa waandishi wa habari za michezo wa tanzania na kwa hilo nami nakusapoti ila mawakala nao ni kama sisi tuu tuna mitazamo yetu kwa kila tukitakacho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mantiki hiyo Mkuu hata CEFTRIAXONE ni mzuri kwenye kulijua na kulichambua soka

 
Kila Siku huwa navikosoa mno kama siyo sana Vyombo vya Habari nchini Tanzania na hasa hivi vya Michezo kwa tabia yake ya Kupenda Kusifia vitu ‘ Kipuuzi ‘ huku vikiwajaza Watu ‘ Ujinga ‘ kinyume hata na uhalisia wake hali ambayo baadae huja kuharibu kabisa.

Wakati Watanzania nasi pia tukiingizwa katika ‘ Upuuzi ‘ huo huo wa hawa Wanahabari wa Michezo jana nilikaa na Mawakala wakubwa tu ambapo hadi mpira ule unamaliza hawakuona Mchezaji yoyote mzuri kutoka Serengeti Boys. Walichosema tu ni kwamba wengi wao wanajitahidi tu Kucheza mpira ila bado hawaujui Mpira.

Kuna Wakala Mmoja ndiyo alinimaliza kabisa na Kukubali kuwa kweli ' Wazungu ' huwa hawabahatishi na hawana ' Unafiki ' katika maelezo yao pale alipomchambua Mchezaji Mshambuliaji Kelvin John ambaye kwa Watanzania na hivyo Vyombo vya Habari vya Tanzania ' vinamtukuza ' kuliko hata Messi na Ronaldo kuwa hajui Mpira na anacheza mpira wa Jukwaani na siyo wa Kiufundi hali ambayo itamuwia vigumu kwa Yeye kupata Klabu kubwa huko Ng'ambo ( Ulaya )

Na ili muone kwamba hawa Mawakala hasa wa Kizungu huwa hawana ' Uswahili Uswahili ' wetu kama tulionao wakati Watanzania wengi tokea jana ' tukimlaumu ' Golikipa wa Serengeti Boys Mwinyi Yahaya kuwa ' alituchomesha ' hadi Kufungwa vile Mawakala wawili walisema kuwa kwa uzuri wa Timu ya Nigeria ulivyo kama kuna Mchezaji ambaye Kwao Wao jana alifanya vyema na alijitahidi basi alikuwa ni Golikipa huyo na wakasema kuwa ' Kiufundi ' ana Vitu vichache sana vya Kuongezewa ila huko mbele wakamtabiria kuwa atakuja kuwa Golikipa mzuri mno hapa Tanzania.

Baada ya Kauli hizi na Mitazamo hii ya hawa Mawakala wa Kizungu sasa nimeamini kuwa Watanzania wengi ( ukimuondoa GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ) ni Mashabiki tu wa Mpira ila siyo Watu wa Mpira. Na kwa tabia hii ya Vyombo vya Habari vya Tanzania kupenda Kusifia hata ' Upuuzi ' au vitu ambavyo sivyo vya Kiuhalisia Tanzania itaendelea kubaki hapa hapa japo mwaka huu Taifa Stars ' tumebahatisha ' tu Kufuzu AFCON nchini Misri baada ya Waganda kutuonea huruma na kuweka Ujirani mwema ila nina uhakika kama Uganda wangeamua ' Kukaza ' basi kama kawaida Watanzania AFCON 2019 tungeisikia tu katika ' Bomba ' huku tukiendelea na zile tabia zetu za Kuchagua Timu za Kushangilia na Mataifa ya Wenzetu.

Nawasilisha.
Kama hao wazungu wako wameshindwa kuona uwezo mkubwa wa yule dogo namba 10 wa Serngeti boys anaitwa Kelvin John, basi wana matatizo ya macho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujui mpira ww, tutakutana j5 mkuu Uganda atakalishwa

Sent using Jamii Forums mobile app
imkuu kwa mpira upi, huu wakupewa tuta nje ya 18 na bado wanatuchakaza kuwa sirias kidogo bas. uganda wanacheza mpira wa nguvu na speed kuliko sisi. kuamini tutawafunga uganda ni sawa na mikia walivyo amini Tp wameisha watapita kirahisi kilicho wakuta walichakaa vibaya sana.
 
Kila Siku huwa navikosoa mno kama siyo sana Vyombo vya Habari nchini Tanzania na hasa hivi vya Michezo kwa tabia yake ya Kupenda Kusifia vitu ‘ Kipuuzi ‘ huku vikiwajaza Watu ‘ Ujinga ‘ kinyume hata na uhalisia wake hali ambayo baadae huja kuharibu kabisa.

Wakati Watanzania nasi pia tukiingizwa katika ‘ Upuuzi ‘ huo huo wa hawa Wanahabari wa Michezo jana nilikaa na Mawakala wakubwa tu ambapo hadi mpira ule unamaliza hawakuona Mchezaji yoyote mzuri kutoka Serengeti Boys. Walichosema tu ni kwamba wengi wao wanajitahidi tu Kucheza mpira ila bado hawaujui Mpira.

Kuna Wakala Mmoja ndiyo alinimaliza kabisa na Kukubali kuwa kweli ' Wazungu ' huwa hawabahatishi na hawana ' Unafiki ' katika maelezo yao pale alipomchambua Mchezaji Mshambuliaji Kelvin John ambaye kwa Watanzania na hivyo Vyombo vya Habari vya Tanzania ' vinamtukuza ' kuliko hata Messi na Ronaldo kuwa hajui Mpira na anacheza mpira wa Jukwaani na siyo wa Kiufundi hali ambayo itamuwia vigumu kwa Yeye kupata Klabu kubwa huko Ng'ambo ( Ulaya )

Na ili muone kwamba hawa Mawakala hasa wa Kizungu huwa hawana ' Uswahili Uswahili ' wetu kama tulionao wakati Watanzania wengi tokea jana ' tukimlaumu ' Golikipa wa Serengeti Boys Mwinyi Yahaya kuwa ' alituchomesha ' hadi Kufungwa vile Mawakala wawili walisema kuwa kwa uzuri wa Timu ya Nigeria ulivyo kama kuna Mchezaji ambaye Kwao Wao jana alifanya vyema na alijitahidi basi alikuwa ni Golikipa huyo na wakasema kuwa ' Kiufundi ' ana Vitu vichache sana vya Kuongezewa ila huko mbele wakamtabiria kuwa atakuja kuwa Golikipa mzuri mno hapa Tanzania.

Baada ya Kauli hizi na Mitazamo hii ya hawa Mawakala wa Kizungu sasa nimeamini kuwa Watanzania wengi ( ukimuondoa GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ) ni Mashabiki tu wa Mpira ila siyo Watu wa Mpira. Na kwa tabia hii ya Vyombo vya Habari vya Tanzania kupenda Kusifia hata ' Upuuzi ' au vitu ambavyo sivyo vya Kiuhalisia Tanzania itaendelea kubaki hapa hapa japo mwaka huu Taifa Stars ' tumebahatisha ' tu Kufuzu AFCON nchini Misri baada ya Waganda kutuonea huruma na kuweka Ujirani mwema ila nina uhakika kama Uganda wangeamua ' Kukaza ' basi kama kawaida Watanzania AFCON 2019 tungeisikia tu katika ' Bomba ' huku tukiendelea na zile tabia zetu za Kuchagua Timu za Kushangilia na Mataifa ya Wenzetu.

Nawasilisha.
Umeongea kama mke wa hao mawakala au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule kipa ni hamna kitu, hata ukiitisha kombaini tu ya michezo sekondari Dsm tu utapata makipa hata zaidi ya watano wenye uwezo zaidi yake. Inashangaza eti ndio kipa wa Tz nzima, mimi naamini yule kipa ana ndugu TFF au benchi la ufundi anayembeba maana kwenye mechi zote hata yale mashindano ya juzi ya Rwanda alikuwa anaonekana ni kimeo ila bado yupo tu.

Mwisho, hata kocha wa Serengeti boys amekiri kipa ni tatizo la wazi ila bado naamini Tz tunaingia semi final na World Cup. Uganda na Angola wote wanafungika na hakuna yoyote mwenye uwezo wa kumfunga Nigeria kati yao.
Kuna dogo wa Benjamin mkapa alikuwa goal keeper wa combain ya dar umiseta anaitwa mamba ni copy na manuer nuer kbsa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mawakala uchwara hao kwamba hata hawakumuona kindoki mdogo.

kuna dogo kelvini na Ngoda wale vijna wanajitahidi, sema mikia washatia gundu hadi kwa madogo ko nimwendo wa kuchakazwa tu
Mmeolewa na mazembe acheni kusaka vidumu.
Nasikia kidumu Lipuli ndio mtakuwa mnampa mambo!?
Mnyama atawabaka tu ikibidi kwenda jela poyelea mbali
 
mawakala uchwara hao kwamba hata hawakumuona kindoki mdogo.

kuna dogo kelvini na Ngoda wale vijna wanajitahidi, sema mikia washatia gundu hadi kwa madogo ko nimwendo wa kuchakazwa tu
😂😂😂😂😂😂😂
 
Mwalimu kashasha mimi naamini anajua Mpira kuliko huyo wakala au sisi wote hapa. Maana ni Coach wa kusomea . amesifia madogo na kama sio uzembe wa kipa Nigeria Angelala jana. Bila kuupizia timu za west Africa wana tabia ya kuweka vijeba ( kudanganya umri) . Kwakifupi kuna baadhi ya vijana wanatakuwa wakimbizwe ulaya haraka. Ningependa waende Real Madrid au Barcelona youth teams au Ajax au English premier youth teams
 
wewe lengo lako tujue kuwa jana uliongea na mzungu haya tushajua ....shubamit na uchambuzi wako uchwara
 
Hizo Ajax, PSG na Barcelona ni za hapa hapa Tandale Dar es Salaam au ni zile za Ulaya ambazo nazijua Mimi kuwa hazina utaratibu wa kuchukua Wachezaji ' Takataka ' kutoka baadhi ya nchi ambazo zinapambana Kuendelea ambazo nyingi ziko katika Jangwa la Kusini mwa Sahara?
Wachezaji takataka? Unapoteza mantiki ya vyote ulivyooandika. Umekosa neno lolote hadi utumie lugha ya kuudhi kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom