msondomba
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,835
- 2,262
Hujui mpira ww, tutakutana j5 mkuu Uganda atakalishwamechi ya angola na uganda nimeiona kusema ukweli hatuna uwezo wa kumfunga si angola wala uganda na nijeri kwa angola anaweza kalishwa. kwenye hili kundi nawapa nafasi nigeri na angola sisi tutakuwa wa mwisho kwa point 1 (draw na uganda) ama tuchakazwe mazima kama kaka zetu mikia fc
Sent using Jamii Forums mobile app