DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,961
Wakati wapinzani wako busy wanapingana na kumalizana kwasababu ya "kiti cha mwenyekiti", wenzao CCM wako busy wanajenga mabarabara, wanajenga flyOvers, wanajenga madaraja juu ya bahari, wanahakikisha watoto/wanafunzi hawakai chini, wagonjwa hawalali chini, usafiri wa anga unaimarishwa, mahakama ya mafisadi inawezeshwa, viwanda vinajengwa, wakwepakodi wanalipa kodi, wahalifu wanadhibitiwa, mazingira yanaboreshwa kwa kupanda miti, reli mpya na za kisasa zinajengwa, makazi ya watu wa chini yanaboreshwa na mengineyo mengi.
Nashauri wapinzani warudi kwenye drawing board, wajipange upya. La sivyo, wapinzani wenyewe watarudisha nchi hii kwenye mfumo wa chama kimoja. Watch this space,
Nashauri wapinzani warudi kwenye drawing board, wajipange upya. La sivyo, wapinzani wenyewe watarudisha nchi hii kwenye mfumo wa chama kimoja. Watch this space,