Wakati vyama vya upinzani nchini vikii lalamikia serikali ya CCM kwa kukiuka misingi ya kidemokrasia. vyama vya upinzani vyenyewe ndani ya vyama hivyo hakuna demokrasia ama niseme navyo vinakiuka misingi ya kidemokrasia. mifano ipo mingi ila hapa natoa mifano michachetu. (a) CUF,ktk uchaguzi mkuu wa chama uliouweka uongozi uliopo madarakani hivi sasa kulikuwa na ukiukwaji wa demokrasia ya ndani ya chama. sababu ukisoma katiba ya cuf uchaguzi wa kata unasimamiwana uongozi wilaya cuf wakakiuka katba wakaunda wasimamizi wa uchaguzi toka taifa kwenda mikoani kusimami kuanzia kata na wilaya. sababu ni kuandaa wajumbe wa mkutano mkuu taifa wamchague lipumba huku prof,safari akitangazwa pandikizi la ccm,ulipo fika mkutano mkuu safari aka nyanyapaliwa akapata kura6.(b)CHADEMA. Pia nmeona aliyo tendewa zito magazeti yaliandika aliambiwa toafomu akatoa wapi demokrasia (c)TLP.Mrema aliita kamat yake akachuja majina ya wapinzan wake akapitishwa yey wapi demokrasia. (4)NCCR,yaliyo mkuta kafulila jee?ipo wapi demokrasia.