Hii ndiyo tofauti ya Mwanafrica Mzalendo. Wapigania uhuru babu zetu hawakuwatetea wazungu, bali waliwasema hadharani na hata kuuawa ndipo tukapatata uhuru ambao sasa tunautumia kuongea hovyo, kutetea mimba za utotoni, kutetea wezi wa rasilimali zetu, kutetea wanaume koana wao kwa wao Nk.
Wakati babu zetu wakiuawa kwa kupigania uhuru wanakuona haya Kumkea mzungu mkoloni ambaye kiuhalisia alikuja kututawawala ili aibe Mali zetu. Wapinzania hasa CHADEMA na ACT Wazalendo wanasema eti tusiwabeze wazungu maana wanatulisha!! Wanasahau kuwa hicho wanachotulisha ni Matokeo ya Mali zetu walizotupora kwa kuwakata vichwa babu zetu walipojaribu kuwazuia wasiibe Mali zetu. Kwa hili la kuwatetea wazungu limenishangaza sana.Hapo ndipo ninapoamini kuwa kuna watu wametumwa kuja kutuvuruga.
Mtanzania mwenzangu usidanganyike mwaka huu. Ukikosea kuchagua utarudishwa nchi ya utumwani ili uwanyenyekea wazungu ambao watakulazimisha ushoga,kutoa mimba,madawa ya kulevya nk.
Hatudanganyiki
Wakati babu zetu wakiuawa kwa kupigania uhuru wanakuona haya Kumkea mzungu mkoloni ambaye kiuhalisia alikuja kututawawala ili aibe Mali zetu. Wapinzania hasa CHADEMA na ACT Wazalendo wanasema eti tusiwabeze wazungu maana wanatulisha!! Wanasahau kuwa hicho wanachotulisha ni Matokeo ya Mali zetu walizotupora kwa kuwakata vichwa babu zetu walipojaribu kuwazuia wasiibe Mali zetu. Kwa hili la kuwatetea wazungu limenishangaza sana.Hapo ndipo ninapoamini kuwa kuna watu wametumwa kuja kutuvuruga.
Mtanzania mwenzangu usidanganyike mwaka huu. Ukikosea kuchagua utarudishwa nchi ya utumwani ili uwanyenyekea wazungu ambao watakulazimisha ushoga,kutoa mimba,madawa ya kulevya nk.
Hatudanganyiki