Wakati wafanyakazi wakiandamana kumpongeza Magufuli, viongozi wa ACT Kigoma wakamatwa kwa kupeleka Polisi barua ya taarifa ya maandamo

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,371
TAARIFA KWA UMMA

Tunazo taarifa zilizothibitishwa kwamba viongozi wetu watatu wa Ngome ya Vijana Jimbo la Kigoma Mjini Wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Wilaya ya Kigoma Mjini.

Viongozi hao wa Ngome ya Vijana Jimbo la Kigoma Mjini; Said Mlindwa (Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana Jimbo), Wakili Mubanga (Katibu wa Vijana Jimbo) na Ntakije Ntanena (Katibu Mwenezi wa Ngome ya Vijana Jimbo) walikuwa wanapeleka taarifa kwa jeshi la polisi kuhusu maandamano ya amani ya kumpongeza Mbunge wa Kigoma Mjini Ndugu Zitto Kabwe na Madiwani wa Manispaa ya Kigoma Ujiji kwa kazi kubwa wanayoifanya kuwaletea wananchi maendeleo.

Ni jambo la aibu na kusikitisha kwa Jeshi la Polisi kuwakatamata na kuwaweka ndani watu waliofika Polisi wenyewe kufuatilia utekelezaji wa masharti ya kisheria ya kufanya maandamano ya amani.

Wakati viongozi wetu na wanasheria wakifuatilia kwa karibu kuhakikisha viongozi hao wanapata haki yao, tunalitaka jeshi la polisi la polisi liwaachie huru viongozi hao mara moja.

Ado Shaibu,
Katibu wa Itikadi, Mawasiliano na Uenezi, ACT Wazalendo
07 Januari 2019

Huu hapa chini ndio ujumbe aliouandika Zitto katika mtandao wa twitter:



DwSzvx0WwAAEYb4.jpg
 
ACT waheshimu Mamlaka.

Kitendo kile Cha dhihaka dhidi ya Amiri Jeshi wa Vikosi vya Ulinzi Na Usalama vya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ni Sawa Na Tangazo la Vita Au jaribio la Mapinduzi ambalo linapaswa kujibiwa kwa nguvu stahik

Jeshi la Polisi Mkoa Kigoma liwasafirishe hao Vijana waletwe Staki shari Dar Es salaam Au 'Shimoni' pale Central ambako Ask Gwajima alipoteza Fahamu!

Zitto Mwenyewe hajawahi kuthubutu kufanya kile kitendo kaishia kutuma wale watoto Na Yeye kuishia kutoa update mtandaoni!

Demokrasia ina Mipaka yake Vijana Shime Shime Vijana kuweni Makini, Wanasiasa watawazamisheni 'Nungwe' wapate Picha Za kuwapeleka Mabeberu wakati mnatapa tapa Na familia zenu!
 
ACT waheshimu Mamlaka.

Kitendo kile Cha dhihaka dhidi ya Amiri Jeshi wa Vikosi vya Ulinzi Na Usalama vya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ni Sawa Na Tangazo la Vita Au jaribio la Mapinduzi ambalo linapaswa kujibiwa kwa nguvu stahik

Jeshi la Polisi Mkoa Kigoma liwasafirishe hao Vijana waletwe Staki shari Dar Es salaam Au 'Shimoni' pale Central ambako Ask Gwajima alipoteza Fahamu!

Zitto Mwenyewe hajawahi kuthubutu kufanya kile kitendo kaishia kutuma wale watoto Na Yeye kuishia kutoa update mtandaoni!

Demokrasia ina Mipaka yake Vijana Shime Shime Vijana kuweni Makini, Wanasiasa watawazamisheni 'Nungwe' wapate Picha Za kuwapeleka Mabeberu wakati mnatapa tapa Na familia zenu!
Aiseeeee!
 
Sasa walikuwa wanaandamana kwani wao wana Nazi gani?

Chama tawala kipo kinafanya kazi. Na uchaguzi bado
 
ACT waheshimu Mamlaka.

Kitendo kile Cha dhihaka dhidi ya Amiri Jeshi wa Vikosi vya Ulinzi Na Usalama vya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ni Sawa Na Tangazo la Vita Au jaribio la Mapinduzi ambalo linapaswa kujibiwa kwa nguvu stahik

Jeshi la Polisi Mkoa Kigoma liwasafirishe hao Vijana waletwe Staki shari Dar Es salaam Au 'Shimoni' pale Central ambako Ask Gwajima alipoteza Fahamu!

Zitto Mwenyewe hajawahi kuthubutu kufanya kile kitendo kaishia kutuma wale watoto Na Yeye kuishia kutoa update mtandaoni!

Demokrasia ina Mipaka yake Vijana Shime Shime Vijana kuweni Makini, Wanasiasa watawazamisheni 'Nungwe' wapate Picha Za kuwapeleka Mabeberu wakati mnatapa tapa Na familia zenu!
Punguza mwendo mbele kuna kona ...........
 
Watanzania msiwe na shaka,uhakika wa kufika upo. Hivi ni vijiwimbi vya mpito.
 
TAARIFA KWA UMMA

Tunazo taarifa zilizothibitishwa kwamba viongozi wetu watatu wa Ngome ya Vijana Jimbo la Kigoma Mjini Wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Wilaya ya Kigoma Mjini.

Viongozi hao wa Ngome ya Vijana Jimbo la Kigoma Mjini; Said Mlindwa (Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana Jimbo), Wakili Mubanga (Katibu wa Vijana Jimbo) na Ntakije Ntanena (Katibu Mwenezi wa Ngome ya Vijana Jimbo) walikuwa wanapeleka taarifa kwa jeshi la polisi kuhusu maandamano ya amani ya kumpongeza Mbunge wa Kigoma Mjini Ndugu Zitto Kabwe na Madiwani wa Manispaa ya Kigoma Ujiji kwa kazi kubwa wanayoifanya kuwaletea wananchi maendeleo.

Ni jambo la aibu na kusikitisha kwa Jeshi la Polisi kuwakatamata na kuwaweka ndani watu waliofika Polisi wenyewe kufuatilia utekelezaji wa masharti ya kisheria ya kufanya maandamano ya amani.

Wakati viongozi wetu na wanasheria wakifuatilia kwa karibu kuhakikisha viongozi hao wanapata haki yao, tunalitaka jeshi la polisi la polisi liwaachie huru viongozi hao mara moja.

Ado Shaibu,
Katibu wa Itikadi, Mawasiliano na Uenezi, ACT Wazalendo
07 Januari 2018

Huu hapa chini ndio ujumbe aliouandika Zitto katika mtandao wa twitter:


Jeshi letu,mikusanyiko ya amani inabidi iruhusiwe, na hili sio maagizo toka juu, alisha wakataa.

Tekelezeni kwa mujibu wa sheria na katiba. Sio kanuni, maana isijekuwa kama kikokotoo.
 
Double-Standard iliopo nchini kwetu, Dodoma watu wanalazimishwa kuandamana ili kuunga juhudi (Hata kama huamini wala huungi mkono, unalazimishwa ili kulinda UGALI wako).

Neno "MNATAKIWA KUSHIRIKI" lililotumiwa na wahusika katika hii barua ni kama AMRI, sio OMBI (English: YOU MUST!!!! Utake usitake unatakiwa kwenda kuandamana).

Wakati wengine wanafuata sheria KUTOA TAARIFA ya kuhudhuria maandamano ya amani, wanakamatwa.

Twendeni tutafika. Ila viongozi wengi wa awamu hii wataishia kizimbani kwa MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA YAO, UKANDAMIZWAJI, UVUNJIFU WA SHERIA na UKAMATAJI KINYUME NA SHERIA (Kwa nia OVU).
tapatalk_1546785783123.jpeg
 
Back
Top Bottom