Elections 2010 WAKATI WA VIJANA WA CUF TANZANIA BARA KUUNDA CUF-Tanganiyika UMEWADIA!!!!

babayah67

JF-Expert Member
Mar 28, 2008
493
79
Ukizingatia yaliyotokea Zanzibar baada ya Uchaguzi mkuu yaani kuwepo kwa serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar, na ukiangalia performance ya CUF kwenye uchaguzi mkuu kwa upande wa TZ-Bara, wenye akili watagundua kuwa Umuhimu wa wapenzi wa CUF wa TZ-Bara, kujiengua toka CUF-ZNZ kwa sasa ni wa 100%. Muafaka wa CCM na CUF Zenji, umewafanya CUF-bara wasiweze kukubalika tena miongoni mwa raia wa TZ. Sio siri kwa sasa CUF bara inaonekana kama vile ni chama kinachoishi kwa hisani ya CCM, sintoshangaa katika baraza la mawaziri lijalo JK akamteua mmoja wa wabunge toka CUF kuingia serikalini. Hali hii ina maanisha nini kwa wengi wa vijana wapenzi na wakereketwa wa CUF bara????. Ombi langu kwa vijana wengi mlio ndani ya CUF TZ-Bara, kujiengua toka CUF Zenji hivi sasa na kuunda chama chenu kitakachokuwa na malengo na mitazamo ya kueleweka kwa ndugu zenu wengi wa bara. Nawakilisha
 
hii inamaanisha kuwa, chama makini chenye nguvu kilichobaki ni chadema peke yake, cuf inaende ikifa polepole..
 
Chadema oyeee, chadema baba SLAA alisema tukae pamoja, chadema oyee chademaaa
 
Ukizingatia yaliyotokea Zanzibar baada ya Uchaguzi mkuu yaani kuwepo kwa serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar, na ukiangalia performance ya CUF kwenye uchaguzi mkuu kwa upande wa TZ-Bara, wenye akili watagundua kuwa Umuhimu wa wapenzi wa CUF wa TZ-Bara, kujiengua toka CUF-ZNZ kwa sasa ni wa 100%. Muafaka wa CCM na CUF Zenji, umewafanya CUF-bara wasiweze kukubalika tena miongoni mwa raia wa TZ. Sio siri kwa sasa CUF bara inaonekana kama vile ni chama kinachoishi kwa hisani ya CCM, sintoshangaa katika baraza la mawaziri lijalo JK akamteua mmoja wa wabunge toka CUF kuingia serikalini. Hali hii ina maanisha nini kwa wengi wa vijana wapenzi na wakereketwa wa CUF bara????. Ombi langu kwa vijana wengi mlio ndani ya CUF TZ-Bara, kujiengua toka CUF Zenji hivi sasa na kuunda chama chenu kitakachokuwa na malengo na mitazamo ya kueleweka kwa ndugu zenu wengi wa bara. Nawakilisha

hilo umenena mwanangu lakini umechelewa mno cuf imesha pasuka mapande wewe hapo ulipo ni cufMageuzi je cufUdini mtaelewana ambao mbegu hiyo imepandwa na cufUpemba na utawaeleza nini cufCcm wakuelewe mwana ushauri wangu ili tusicheleweshe mabadiliko ambayo yanakuja na lazima yapo basi hamasisha vijana wenzio ambao ni cufmageuzi mjiunge huko CHADEMA haraka vijana mnaitwa kwa nguvu ya TANO A luta continua!
 
Cuf kitakwimu inazidi kukubalika bara na visiwani(tanganyika na zanzibar).

Ktk uchaguzi wa madiwani tanga mjini cuf imechukua madiwani 11 kutoka 5 waliokua nao. Wilayani mkinga cuf imepata madiwani 7 wakati hawakua na diwani hata 1 hapo kabla.
Na stail ni hiyo ktk mikoa mingi tu. Kwa upande wa wabunge cuf imepata 2 tanganyika wakati hawakua nae hata 1 kabla.
Kumbukeni wizi wa kura. Au chadema tu ndio wanaoibiwa?
 
Cuf kitakwimu inazidi kukubalika bara na visiwani(tanganyika na zanzibar).

Ktk uchaguzi wa madiwani tanga mjini cuf imechukua madiwani 11 kutoka 5 waliokua nao. Wilayani mkinga cuf imepata madiwani 7 wakati hawakua na diwani hata 1 hapo kabla.
Na stail ni hiyo ktk mikoa mingi tu. Kwa upande wa wabunge cuf imepata 2 tanganyika wakati hawakua nae hata 1 kabla.
Kumbukeni wizi wa kura. Au chadema tu ndio wanaoibiwa?
Sasa mbona wenzetu hamlalamiki, mtavumilia mpaka lini? walau waungeni mkono CHADEMA
 
Watalalamika wakati maalim seif ameuza ushindi zanzibar hawana dhamira ya kweli -wanafiki, seif kauza matokeo zanzibar iweje lipumba ashinde for 67% zanzibar total vote then maalimu seif apate 49.1% haingiii aklini wanafiki hawa
 
Minyororo mlojifungia na ccm, cuf kamwe hamtapata maendeleo yoyote ya maana tz, usipokuwa kama udp bariadi na hiyo cuf sehemu zenye waislam wengiiiiii.....
 
ukizingatia yaliyotokea zanzibar baada ya uchaguzi mkuu yaani kuwepo kwa serikali ya umoja wa kitaifa huko zanzibar, na ukiangalia performance ya cuf kwenye uchaguzi mkuu kwa upande wa tz-bara, wenye akili watagundua kuwa umuhimu wa wapenzi wa cuf wa tz-bara, kujiengua toka cuf-znz kwa sasa ni wa 100%. Muafaka wa ccm na cuf zenji, umewafanya cuf-bara wasiweze kukubalika tena miongoni mwa raia wa tz. Sio siri kwa sasa cuf bara inaonekana kama vile ni chama kinachoishi kwa hisani ya ccm, sintoshangaa katika baraza la mawaziri lijalo jk akamteua mmoja wa wabunge toka cuf kuingia serikalini. Hali hii ina maanisha nini kwa wengi wa vijana wapenzi na wakereketwa wa cuf bara????. Ombi langu kwa vijana wengi mlio ndani ya cuf tz-bara, kujiengua toka cuf zenji hivi sasa na kuunda chama chenu kitakachokuwa na malengo na mitazamo ya kueleweka kwa ndugu zenu wengi wa bara. Nawakilisha

wee, wacha fitina na uchonganishi!! Hakuna mpasuko wowote ndani ya cuf, hakuna cuf bara wala visiwani, wote ni wamoja na nidhamu iliyojengwa ktk cuf ni ya hali ya juu!! Sasa wewe na wenzako chadema mmeshindwa kuitoa ccm madarakani mnataka kuleta chokochoko ktk cuf!!!

kama unataka mafanikio ya cuf bara ili kiwe na wanachama wengi na kuleta mabadiliko ya kweli basi jiunge na cuf na muache fitina zenu za kukipakazia cuf kuwa ni chama cha kidini!!!!
 
:teeth: Kinachonichekesha, ni pale mtu hatazami kajikwaa wapi? Nina shaka sana na Demokrasia ya Chadema (baadhi ya mashabiki wake) habari zimeanza kusemaCHADEMA imeanza kugawanyika, kwanza issue ya kutoka bungeni: INASEMEKANA BAADHI YAO HAWAKUIUNGA MKONO.

BINAFSI YANGU NASEMA HIVIIIIIIIIIIIIIIIIII>>>> HATUHITAJI MALUMBANO TUNATAKA MAENDELEO KUTOKA KWA WABUNGE, MADIWANI TULIOWACHAGUA SIO SIKU YA MWISHO WATULETEE STORI>:teeth:
 
ukizingatia yaliyotokea zanzibar baada ya uchaguzi mkuu yaani kuwepo kwa serikali ya umoja wa kitaifa huko zanzibar, na ukiangalia performance ya cuf kwenye uchaguzi mkuu kwa upande wa tz-bara, wenye akili watagundua kuwa umuhimu wa wapenzi wa cuf wa tz-bara, kujiengua toka cuf-znz kwa sasa ni wa 100%. Muafaka wa ccm na cuf zenji, umewafanya cuf-bara wasiweze kukubalika tena miongoni mwa raia wa tz. Sio siri kwa sasa cuf bara inaonekana kama vile ni chama kinachoishi kwa hisani ya ccm, sintoshangaa katika baraza la mawaziri lijalo jk akamteua mmoja wa wabunge toka cuf kuingia serikalini. Hali hii ina maanisha nini kwa wengi wa vijana wapenzi na wakereketwa wa cuf bara????. Ombi langu kwa vijana wengi mlio ndani ya cuf tz-bara, kujiengua toka cuf zenji hivi sasa na kuunda chama chenu kitakachokuwa na malengo na mitazamo ya kueleweka kwa ndugu zenu wengi wa bara. Nawakilisha
ukizingatia yale yaliotokea baada ya uchaguzi wa viti maalum ambapo chademaa hawakumpa mgombea wetu mwenza wa darasa la saba hata kiti kimoja wakati umewadia wa kuwa na chademaa-zenj na tusiwape mgombea mwenza tena mpaka kieleweke kuhusu mgao wa ndani ya mjengo....ombi langu kwa chadema-zenj kujiengua na chadema-mtei kwani misimamo na malengo yao inahatarisha muungano
 
if you can't lick 'em, join 'em. cuf in da system now after long sufferin, right feet is in n da left on da way.
nguvu inahamishiwa visiwani sasa tunaenda mailand, tulipogomea selikali kule mlitukanyaga sana.
bitbybit n train is moving, we have done that chapter nw is yr turn.
 
hilo umenena mwanangu lakini umechelewa mno cuf imesha pasuka mapande wewe hapo ulipo ni cufMageuzi je cufUdini mtaelewana ambao mbegu hiyo imepandwa na cufUpemba na utawaeleza nini cufCcm wakuelewe mwana ushauri wangu ili tusicheleweshe mabadiliko ambayo yanakuja na lazima yapo basi hamasisha vijana wenzio ambao ni cufmageuzi mjiunge huko CHADEMA haraka vijana mnaitwa kwa nguvu ya TANO A luta continua![/QUOTE]

Jamani lakini tukumbuke tulikotoka, CUF hawaja jisalimisha. Kilichotoke Zenji ndio kinapaswa hata hapa bara. huwezi ukaendelea kuwaachia Mafisadi kuongoza nchi peke yao. Ingia ktk system hata unapoanza ishu za tume huru ni rahisi kuimplement. Jamani mimi huu udini wa CUF siuoni, haipo katika katiba ya CUF, Yes pemba imedominate and Most of residents of Pemba are Muslim. Similary to any part, Chadema wanadominate Some areas ambapo waumini wengi sio waislam mangine wengi waislam e.g kigoma. Tusimamie sera zetu tusiangalie jina na dini.
 
ukizingatia yale yaliotokea baada ya uchaguzi wa viti maalum ambapo chademaa hawakumpa mgombea wetu mwenza wa darasa la saba hata kiti kimoja wakati umewadia wa kuwa na chademaa-zenj na tusiwape mgombea mwenza tena mpaka kieleweke kuhusu mgao wa ndani ya mjengo....ombi langu kwa chadema-zenj kujiengua na chadema-mtei kwani misimamo na malengo yao inahatarisha muungano

Usilipuke tu pitia upya wabunge wa viti maalum chadema zenji wapo
 
@ nyengo.

Cuf wamelalamika sana tokea uchaguzi wa mwaka 1995, 2000,2005 na 2010. Na hiyo njia ya kususia vikao imeshafanywa na cuf mpaka wabunge wa cuf wakafukuzwa bungeni. Cha ajabu ni kua dr slaa alikuemo bungeni lkn hakujiunga na wabunge wa cuf kusususia bunge vipi leo? Mbona mumekua wanafiki hivi chadema?

Baada ya uchaguzi wa mwaka 2005, cuf na vyama vya upinzani ikiwemo chadema vilikubaliana kutotambua matokeo lkn cha kushangaza mbowe alikiuka makubaliano na akaenda kumkumbatia kikwete pale diamond jubeley. Inakuaje chadema na kigeugeu chake mara hatumtambui kikwete mara ah tunamtambua lkn hatutambui matokeo. Nyie vipi?

Hamad rashid anawambia mwende kwake akawape shule maana hayo munayoyafanya nyie leo cuf wameshayafanya tokea miaka 10 iliopita huku chadema walikua wanawabeza cuf. Sasa cuf Wana experience yakutosha na ndio maana wameingia ktk serikali ya zanzibar huo ni mwanzo tu maana hadi mujue kua ccm hawakua wakitaka lkn walilazimika. Kama na nyie chadema muna wafuasi wa kutosha ni vizuri muanze na maandamano ili yaje na suluhisho la gnu kama kenya,zimbabwe, zanzibar,na gunea.

Cuf sasa inapiga hatua usifikiri ilikua ni mchezo na maneno tu! Sio! Watu walikufa, wapo waliopata vilema, wapo waliokaa ukimbizini shimoni kenya na kwengineko na wapo waliopoteza mali na kubwa zaidi wapo waliokubali kupoteza vyeo vyao. Na wapo pia walionajisiwa wao,wanawao,ndugu zao na jamaa zao.

Tusibeze hatua iliyofikiwa na cuf zanzibar kwani hapana jinsi ccm hawataki kuondoka madarakani na nyie watanganyika hamjawa tayari kuiondoa ccm ndio wazanzibari wakaona huku wanawasubiri watanganya mpaka watakapokua tayari, Wacha wao wawemo ktk serikali. Mukiwa tayari ok wazanzibari wao wako tayari zamani. Tutaungana tuiondoe, lkn tanganyika bado hamjawa tayari nasema tena tanganyikans hamjawa tayari kuiondoa ccm madarakani. Sisi Tunawasubiri.
 
Ukizingatia yaliyotokea Zanzibar baada ya Uchaguzi mkuu yaani kuwepo kwa serikali ya umoja wa kitaifa huko Zanzibar, na ukiangalia performance ya CUF kwenye uchaguzi mkuu kwa upande wa TZ-Bara, wenye akili watagundua kuwa Umuhimu wa wapenzi wa CUF wa TZ-Bara, kujiengua toka CUF-ZNZ kwa sasa ni wa 100%. Muafaka wa CCM na CUF Zenji, umewafanya CUF-bara wasiweze kukubalika tena miongoni mwa raia wa TZ. Sio siri kwa sasa CUF bara inaonekana kama vile ni chama kinachoishi kwa hisani ya CCM, sintoshangaa katika baraza la mawaziri lijalo JK akamteua mmoja wa wabunge toka CUF kuingia serikalini. Hali hii ina maanisha nini kwa wengi wa vijana wapenzi na wakereketwa wa CUF bara????. Ombi langu kwa vijana wengi mlio ndani ya CUF TZ-Bara, kujiengua toka CUF Zenji hivi sasa na kuunda chama chenu kitakachokuwa na malengo na mitazamo ya kueleweka kwa ndugu zenu wengi wa bara. Nawakilisha
we umetumwa na mafisadi wa chadema ulete upuuziwako hapa jamvini?kwahilo sahau mh. Cuf iko imara nawako makini kuliko we unavyofikiria,subiri kifo chamende ktk kundi lako la walafi waposho wanaojiita chadema,subir kama mwaka1 hivi utajua mbivu nambichi ktk chadedemaaaaa,cuf ngangari bana,we wote niwivu unakusumbua nahao waliokutuma,kalagabaho.
 
wee, wacha fitina na uchonganishi!! Hakuna mpasuko wowote ndani ya cuf, hakuna cuf bara wala visiwani, wote ni wamoja na nidhamu iliyojengwa ktk cuf ni ya hali ya juu!! Sasa wewe na wenzako chadema mmeshindwa kuitoa ccm madarakani mnataka kuleta chokochoko ktk cuf!!!

kama unataka mafanikio ya cuf bara ili kiwe na wanachama wengi na kuleta mabadiliko ya kweli basi jiunge na cuf na muache fitina zenu za kukipakazia cuf kuwa ni chama cha kidini!!!!
bila kusahau kua chadema nichama cha kikatoliki kwa 100% uchaguzi uliopita hakuna asiejua kua wafazili wakuu wakampeni za chadema ilikua nimakanisa,na slaa ktk kampeni alikua analala makanisani,na ushahidi tunao hata mbeya swanga na mpanda alilala ktk makanisa ya katoliki,mwenye kubisha abishe nimwage data live hapa,wachen kuwafanya watz wajinga,tumewastukia mlitaka kuibatiza nchi mkishinda ila mungu amewalani,na hamtotawala nchi hii mpk kiama kama mnataka kuitawala kikatoliki.
 
Nakubaliana na idea ya CUF bara kujiconfigure upya ili kiweze kufanya kazi kama chama cha upinzani. Ni wazi kuwa baada ya muafaka ambao kwa bahati mbaya haukuzingatia the fact kuwa CUF ipo bara vilevile. Maridhiano yameiweka ktk hari ngumu CUF bara kwani kimsingi maridhiano yanawataka kutopingana na CCM.

Ni kutokana na hali hiyo CUF inabidi kujipanga upya kwa upande wa bara kwani technically CUF wamebanwa na Muaafaka ambao unawafanya washindwe kufanya kazi kama chama tawala.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom