Wakati wa Utawala wa Mobutu huyu mzee alikuwa mtu wake wa karibu sana

Pichani ni aliyekuwa mshauri mkuu wa rais wa Zaire kwa sasa DRC MOBUTU SESESEKO.

Wakati wa Utawala wa Mobutu huyu mzee alikuwa mtu wake wa karibu sana na alikuwa na kazi ya kumpa ushauri ambapo aliweza kumshauri mambo mengi sana,

Alimshauri Mobutu ajilimbikizie mali, alimshauri Mobutu amuue kikatili Pierre Mulele eti kwa kuwa tu alikuwa ni rafiki wa Lumumba na pia kwa hofu ya kupatikana mtu wa kuwaletea Upinzani madarakani.

Aliishi maisha ya starehe yeye na Mobutu Seseseko huku wakila bata vilivyo kwenye makasri na kutembezwa kwenye meli yao ya mv KAMANYOLA

Walikula maisha huku wananchi wakiogelea kwenye umasikini wa kutupwa, Watu wengi sana waliuwawa kinyama chini ya Ushauri wa huyu mzee.

Sasa baada ya Mobutu kupinduliwa huyu mzee alikosa wenyewe alirudi mtaani na kwenda kuishi na zile familia alizokuwa akizionea wakati akiwa Ikulu na Mobutu, alikwenda kuishi na familia ambazo zilipoteza wapendwa wao kwa ushauri wake wa kidhalimu.

Hata hivyo bado yupo hai Mungu ameamua kumuadhibu kwa njia hii, anapatikana jijini kinshasa ambapo ni Masikini fukara na anaishi kwa maisha ya kuombaomba mitaani

Yaani Kutoka Ikulu alipokuwa anakula pweza na mivinyo ya Ufaransa hadi mitaani ambapo anaishi kwa taabu na kulishwa kwa masimango.

Tukio hili ni funzo sana kwa watu wenye Madaraka, wakumbuke kuishi vizuri na watu kwani ipo siku Mungu atakushusha kutoka huko ulipo hadi mitaani ambapo utaenda kuishi na Wale wanyonge uliokuwa unawaona siyo kitu mbele zako.

wakumbuke kuwa...

ALIYE JUU MGOJE CHINI

DUNIA NI TAMBARA BOVU

.... LISSU anatosha... View attachment 1549564
Huyu ni kama Bashiru sasa hivi au pole pole mzee wa vieitee
 
Huyu Mzee hana tofauti na wale wanaobeza maendeleo ya Tanzania na hasa miundo mbinu. Kwa mfano Hospitali na vituo vya afya vimejengwa vingi sana na awamu ya 5. Lakini ati anatokea mtumishi wa serikali awamu za huko nyuma anakashifu.

Huyu anaye kashifu anasahau tukiweka mizania ya watu wa Tanzania waliokufa kwa magonjwa na kwa sababu ya uzembe wake na ufisadi alioshiriki na kuuendekeza wakati akiwa ofsini wanawazidi waliouwawa na Mabutu na Iddi Amini.
Wacha ulevi wewe jasili wa taabu na shida hapa duniani.
Kwani tangu Tanzania tupate uhuru tumetawaliwa na chama tofauti ya Tanu/ccm?
 
Kama ni kweli, hata mtoa mada anapaswa kuishi maisha matakatifu, maana maisha ya kuwatendea wengine mema inaanza na nafsi kisha iende Kwa unayewanyoshea vidole

Wasaidie wasiojiweza, wape chakula wasio nacho, wavishe wasio na nguo, wahudumie wahitaji Kwa ule Uwezo wako na Baada ya hapo, wakumbushe na kuwanyoshea vidole na wengine

Maisha haya tunapita tu, kifo cha masikini na tajiri Bado ni kilekile, kaburi ni lilelile

Mkabidhi Mungu maisha yako nawe utathibitika njia zako
Wewe mwenyewe ni MATAGA ambao kwao kuwadhuru wenzao ni sawa na kuhesabu moja mbili tatu
 
Watu wengine sijui pesa wanaichukuliaje, unakuta mtu anamiliki 1bilion kisha baada ya miaka 10 au 20 anafirisika.

Huu ni upuuzi, akili ni ndogo kabisa bii. Huyu mzee kabla hatujafika kwa Mungu ila na yeye pia akili hana.

Utajiri wa Mobutu ulikuwa ni mkubwa mno, bila shaka huyu mzee na yeye hata 10bilion zilikuwa hazimpigi chenga.
Unapokuwa mpambe wa kiongozi wa Nchi then akawa na visasi dhidi ya watu,kitu salama ni kuwekeza nje ya Nchi.
Kiongozi ambaye ni rafiki yako akitoka madarakani hata kama uwe na pesa kiasi gani kufilisika ni swala la muda tu.
Kinachofanyika accounts zote benki zinakamatwa,pesa unaiona ila kuitoa huwezi na mwisho wa siku inataifishwa kabisa unabaki na assets pekee. Sasa hapo na penyewe wakikuamulia wanakuminya kimya kimya. Kama una majumba unaweza kuta zote zinashikiliwa haupangishi wala hauuzi wanakuachia nyumba unayoishi tu ndio unakuwa na uhuru nayo,mwisho wa siku hata unayoishi maisha yanakupiga unaiuza then pesa unatumia inakwisha tayari unakuwa MACKMUGA
 
Nimekuja speed sana nikifikiri ya kuwa unamzungumzia yule MOBUTU SESESEKO wa Tanzania ambae amefukiwa jana.
 
Pichani ni aliyekuwa mshauri mkuu wa rais wa Zaire kwa sasa DRC MOBUTU SESESEKO.

Wakati wa Utawala wa Mobutu huyu mzee alikuwa mtu wake wa karibu sana na alikuwa na kazi ya kumpa ushauri ambapo aliweza kumshauri mambo mengi sana,

Alimshauri Mobutu ajilimbikizie mali, alimshauri Mobutu amuue kikatili Pierre Mulele eti kwa kuwa tu alikuwa ni rafiki wa Lumumba na pia kwa hofu ya kupatikana mtu wa kuwaletea Upinzani madarakani.

Aliishi maisha ya starehe yeye na Mobutu Seseseko huku wakila bata vilivyo kwenye makasri na kutembezwa kwenye meli yao ya mv KAMANYOLA

Walikula maisha huku wananchi wakiogelea kwenye umasikini wa kutupwa, Watu wengi sana waliuwawa kinyama chini ya Ushauri wa huyu mzee.

Sasa baada ya Mobutu kupinduliwa huyu mzee alikosa wenyewe alirudi mtaani na kwenda kuishi na zile familia alizokuwa akizionea wakati akiwa Ikulu na Mobutu, alikwenda kuishi na familia ambazo zilipoteza wapendwa wao kwa ushauri wake wa kidhalimu.

Hata hivyo bado yupo hai Mungu ameamua kumuadhibu kwa njia hii, anapatikana jijini kinshasa ambapo ni Masikini fukara na anaishi kwa maisha ya kuombaomba mitaani

Yaani Kutoka Ikulu alipokuwa anakula pweza na mivinyo ya Ufaransa hadi mitaani ambapo anaishi kwa taabu na kulishwa kwa masimango.

Tukio hili ni funzo sana kwa watu wenye Madaraka, wakumbuke kuishi vizuri na watu kwani ipo siku Mungu atakushusha kutoka huko ulipo hadi mitaani ambapo utaenda kuishi na Wale wanyonge uliokuwa unawaona siyo kitu mbele zako.

wakumbuke kuwa...

ALIYE JUU MGOJE CHINI

DUNIA NI TAMBARA BOVU

.... LISSU anatosha... View attachment 1549564
Mmh
 
21 Jul 2015
NICE FRANCE

ONE OF MANY PROPERTIES OWNED BY FORMER ZAIREAN PRESIDENT MOBUTU



This opulent pink villa on France's southern coast belongs to the former President Mobutu Sese Seko.

Mobutu is thought to have amassed a personal fortune of 5 (b) billion U-S dollars during his 32-year dictatorship. It is just one of many properties owned by the autocratic ruler around the world.

Mobutu did spent more time at his palatial homes in Switzerland and the French Riviera than in Zaire's capital.

Source : AP ARCHIVE
 
Umetoa Habari yenye funzo zuri lakini umeharibu mwishoni Ulikomalizia.
Ungemalizia na Magufuli anatosha ingekuwa vizuri sana
Mkuu usipende kila mtu ayakubali mawazo yako maana haitakuja kutokea ktk dunia tuliyo nayo.

Tujenge utamaduni wa kuvumiliana na kukosoana bila kukwazana.
 
Back
Top Bottom