Hivi mkuu kweli unase 10bl kisha miaka 30 au 40 mbele uwe masikini?Tunamsingizia Mungu kwa uzembe wetu tu.
Mzee alitumia vibaya hakuwekeza na Sasa anaishi kadri alivyojiandaa akiwa na kitu.
Huyu ni mzembe tu vinginevyo angekuwa na asset za kumuingizia pesa ya kula, kunywa na kuishi maisha ya kutokuwa ombaomba hadi kifo.
Hata nyumba ya kuishi huna?
Unamsingiziaje Mungu hapo?
Tia 200ml ktk ujenzi wa nyumba yako.
Tia 5bl fixed akaunt ktk bank mbalimbali.
Inayobaki tafuta cha kufanya, toa hata milioni 100 ununue daladala zikuingizie pesa ya kula tu na kunywa, huku bado bank muamala unaleta marejesho.
Fungua lodge, frame, apartments n.k
Waafrika akili hatuna.