Naona ujumbe umeupata vizuri sana nakuomba uwajulishe na wenzako wanao jiona kuwa wapo karibu na meza ya bwana. Wengine sasa hivi wapo gezaulole
Kama ni kweli, hata mtoa mada anapaswa kuishi maisha matakatifu, maana maisha ya kuwatendea wengine mema inaanza na nafsi kisha iende Kwa unayewanyoshea vidole
Wasaidie wasiojiweza, wape chakula wasio nacho, wavishe wasio na nguo, wahudumie wahitaji Kwa ule Uwezo wako na Baada ya hapo, wakumbushe na kuwanyoshea vidole na wengine
Maisha haya tunapita tu, kifo cha masikini na tajiri Bado ni kilekile, kaburi ni lilelile
Mkabidhi Mungu maisha yako nawe utathibitika njia zako
Imeshaanza mdogo mdogo maana kuna watu walikuwa wanawalazimisha watoka bara waje wakiwa wasafi ili wasichafue jiji lao lkn leo hii tupo nao huku mla mlenihapa Tanzania hii itatokea kuanzia 2021.
ikichelewa sana basi itakuwa 2026!
Watu wengine sijui pesa wanaichukuliaje, unakuta mtu anamiliki 1bilion kisha baada ya miaka 10 au 20 anafirisika.
Huu ni upuuzi, akili ni ndogo kabisa bii. Huyu mzee kabla hatujafika kwa Mungu ila na yeye pia akili hana.
Utajiri wa Mobutu ulikuwa ni mkubwa mno, bila shaka huyu mzee na yeye hata 10bilion zilikuwa hazimpigi chenga.
Mimi niko mwanakilato kwenye makao mapya.gezaulole baba geza.......mjini kumekuwa hotKaribu sana tupo kibugumo baada ya maisha ya juuu kuporomoshwa na wenye nchi yao
Itakuwa chaiHuyu mzee huyu mzee huyu mzee huyu mzee huyu mzee huyu mzee...hakuwa na jina?
Kweli kabisa, Chama gani kilikuwa kinaongoza huko nyuma vile?Huyu Mzee hana tofauti na wale wanaobeza maendeleo ya Tanzania na hasa miundo mbinu. Kwa mfano Hospitali na vituo vya afya vimejengwa vingi sana na awamu ya 5. Lakini ati anatokea mtumishi wa serikali awamu za huko nyuma anakashifu.
Huyu anaye kashifu anasahau tukiweka mizania ya watu wa Tanzania waliokufa kwa magonjwa na kwa sababu ya uzembe wake na ufisadi alioshiriki na kuuendekeza wakati akiwa ofsini wanawazidi waliouwawa na Mabutu na Iddi Amini.
Tunamsingizia Mungu kwa uzembe wetu tu.Watu wengine sijui pesa wanaichukuliaje, unakuta mtu anamiliki 1bilion kisha baada ya miaka 10 au 20 anafirisika.
Huu ni upuuzi, akili ni ndogo kabisa bii. Huyu mzee kabla hatujafika kwa Mungu ila na yeye pia akili hana.
Utajiri wa Mobutu ulikuwa ni mkubwa mno, bila shaka huyu mzee na yeye hata 10bilion zilikuwa hazimpigi chenga.