Wakati wa usiku mwingi nikiwa nimejilaza kitandani huwa najiongelesha mwenyewe ndani ya ubongo

TEAM 666

JF-Expert Member
Dec 7, 2017
4,330
8,421
Habari Wana Jamiiforums

Moja kwa moja twende kwenye mada nyakati za usiku mwingi Yani saa 6 saa 7 hv kikawaida huwa ndio muda wangu wakujipumzisha baada ya kumaliza shunguli zangu zakila siku.

Kuna Hali hunitokea yakujiongelesha mwenyewe bila Mimi kuelewa hii Hali hajitokeza kwasababu zipi unakuta Kuna vitu vinatawala ubongo wangu wakati huo hii hali naichkia sana yani ninakua kama kichaa hivi nashindwa kuji-control.

Muda mwingi hunitokea mawazo hasi kila mtu namuhisi hanipendi kila mtu namuona niadui yangu.

Mara chache sana mawazo chanya ndio yananijiaa.

Hii Hali inatokana nanini wakuu?

Mshana Jr
 
Unahitaji k vant kubwa la maadui
Maumivu yakizidi muone daktari
JPEG_20210204_175507_7318153414841426288.jpg
 
Uwe unaomba kabla ya kulala.

Usiku jaribu pia kulala na muziki mlaiiini au nyimbo za dini zikiimba sauti ya chini sana kwenye redio or anything.
 
Punguza msongo wa mawazo halafu kabla haujalala usinywe pombe nyingi kingine sali kabla ya kulala
 
Habari Wana Jamiiforums

Moja kwa moja twende kwenye mada nyakati za usiku mwingi Yani saa 6 saa 7 hv kikawaida huwa ndio muda wangu wakujipumzisha baada ya kumaliza shunguli zangu zakila siku.

Kuna Hali hunitokea yakujiongelesha mwenyewe bila Mimi kuelewa hii Hali hajitokeza kwasababu zipi unakuta Kuna vitu vinatawala ubongo wangu wakati huo hii hali naichkia sana yani ninakua kama kichaa hivi nashindwa kuji-control.

Muda mwingi hunitokea mawazo hasi kila mtu namuhisi hanipendi kila mtu namuona niadui yangu.

Mara chache sana mawazo chanya ndio yananijiaa.

Hii Hali inatokana nanini wakuu?

Mshana Jr

Ni hali ya kawaida kwenye hatua za makuzi..itapita kila mmoja hupitia hiyo hali lakini kwa viathiri tofauti
 
Ukiona mpaka unafika kitandani na bado unakaa kuanza kuwaza inamaana wewe haujachoka vya kutosha kupata usingizi.

Ushauri wangu ni kwamba , Fanya mazoezi ya kutosha mpaka mwili uchoke kabisa ukifika unalala tu. Au kama wewe ni mtu wa pombe basi hakikisha unakunywa vya kutosha, ukifika kitandani ni kulala tu.

Jaribu jambo moja kati ya hayo mawili na utapata majibu chanya
 
Back
Top Bottom