Wakati Wa Sharia Law Umefika

Hiyo habari si ya kweli. Idadi ya wafungwa waliopo katika nchi zenye kutumia Secular System ni kubwa zaidi kuliko ktk Sharia law. Jambo jingine nchi zinazotumia mfumo huo zinamaovu (rushwa, ukandamizaji) zaidi kuliko nchi za Sharia Law.

Hiyo bold naweza kukubali japo sina uhakika sana, ila the difference ni kuwa huku kwenye secular world watu wapo hai ingawa wapo vifungoni ila hawa jamaa wa kwenye sheria law ambao wangekuwa kifungoni wameuawa tena kikatili.

Please dont ever think bringing this calamity anywhere near this country.
 
Aisee, tuna hamu sana kuishi katika nchi ambayo ni corruption free, na ndiyo ndoto ya kila Mtanzania!
Lakini kwa habari ya SHARIA-LAW hapa TZ, hapana!....TUTAKUWA TUMEUZA NCHI KWA MWARABU na UISLAMU...Na tukikubali Sharia tutakubali na UTUMWA ule wa zamani urudi!...Big NO broda, we cant consent this filthy law!

Sasa tuliokubali sheria za wakoloni na tumeuza nchi kwa mzungu na ukristo? Na tulipokubali sheria za kikristo tumekubali pia na ukoloni ule wa zamani umeduri?

Ukisikia akili iko kwenye tigo ndiyo hii. :tonguez:
 
Somalia kuna matatizo makubwa ya koo mbalimbali, Al Shabab walileta order kwa muda mfupi kwa sababu ya hofu na si watu kuhamasika kufuata sheria na utulivu.



Nakupa ushauri wa bure ndugu yangu, rudi ukasome maandiko ya watu waliobobea katika fani zao na si kuchukua mazungumzo ya mitaani kama facts. Kupanda na kushuka kwa uchumi ni mambo ya kawaida sana, kwenye fani hizi zinaitwa mizunguko ya biashara/uchumi (business/economic cycles) na zote huwa zina muda wake.

Rudi tena ukasome vizuri mkubwa kabla "hoja" zako hatujazibomoa neno hadi neno. Ni ushauri wa bure tu.

Do you want to talk about economic fluctuation? Unazungumzia fact za zamani ambapo nchi kubwa zilikuwa zinapromote free market capitalism with imperialism. Ask you self, why free market Capitalism is failing now? Do you know why? Do you know that principles of Comparative Advantage is only applied for Rich Countries? Do you think USA recession is only in short term? USA unemployment rate is higher than ever!! Ask you self, If USA has good eceonomic system, why USA has the huge amount of debt? Do you know the Value of USA GOLD Reserves is lower than its DEBT? Which facts do you have Mr.?
 
I sugest this thread/topic should be closed, what has been said is enough.
 
Back
Top Bottom