Wakati wa Kabudi kupumzishwa ulishafika, Rasi Samia amsaidie tu

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,108
115,842
Kwenye kila utawala kuna Viongozi ambao wanawakilisha utawala huo zaidi ya wengine. Na utawala wa Magufuli huyu Prof. Kabudi aliuwakilisha zaidi ya wengine..
  • Ubabe..
  • Vitisho...
  • Amri..
  • Na Sura za kuogofya kwa watawaliwa na wananchi...huyu Kabudi alikuwa anawakilisha vyema kabisa.

Alipokuja Samia na kuanza kupotea na wananchi tukaanza tena kulala vizuri bila kuwa na wasiwasi wa sheria ipi inaweza tumika..'kutukomesha'. Ghafla kaibuka na sheria ya kutunza pesa. Na sasa hatujui kesho ataibuka na sheria gani ingine iliyopitwa na wakati ya kuwatishia wananchi...

Pesa ni pesa...pesa sio Qur'an tukufu wala sio Bible takatifu...ni human creations. Other humans wakijisikia kuikejeli iwe kweli au maigizo let them be....

Kwa kubudi kuibuka na vitisho hivi inaonesha bado wazi anaishi in the sixties..ambako na kauli za "mabeberu".

Na siasa za ujamaa na kujitegemea zilizofanana kidogo na siasa za Communism za China ya Mao na USSR ya kina Stalin.

Watu aina walishapitwa na wakati ...wanapaswa kuwekwa museums of history haraka sana....Samia afanye haraka ampumzishe huyu na sheria ya 'kuabudu' pesa kama dini ibadilishwe haraka. kuna watu wengi wanaishi kwa kutegemea pesa za kutunzwa na huwezi zuia watu kuwarushia na kudondoka chini hasa kwenye entertainment industry.

Sheria hizi za ki komunisti zifutwe na hawa wazee kama Kabudi wafutwe haraka ...walishapitwa na wakati kabla hata hawajateuliwa...
 
... kimwambao hiyo ya kwanza ni sahihi; kinyika hiyo ya pili pia ni sahihi! Inategemea umeongea kwa dialect ipi. Mfano mwingine hiki <==> hicho (kinyika) Vs hiki <==> hiko (kimwambao).
Aah wapi.
 
Pesa ni pesa...pesa sio Qur'an tukufu wala sio Bible takatifu...ni human creations. Other humans wakijisikia kuikejeli iwe kweli au maigizo let them be....

Unaweza kuwa na hoja yako binafsi ya kisiasa aondolewe ila kwa point hii ya pesa unatupeleka chaka. Currency ya nchi yoyote inalindwa kwa sheria na ni punishable sasa what counts as defacement of money inategemea nchi na nchi na kuna msururu mrefu wa mambo ambayo hayaruhusiwi kufanya katika pesa
 
Kwenye kila utawala kuna Viongozi ambao wanawakilisha utawala huo zaidi ya wengine. Na utawala wa Magufuli huyu Prof. Kabudi aliuwakilisha zaidi ya wengine..
  • Ubabe..
  • Vitisho...
  • Amri..
  • Na Sura za kuogofya kwa watawaliwa na wananchi...huyu Kabudi alikuwa anawakilisha vyema kabisa.

Alipokuja Samia na kuanza kupotea na wananchi tukaanza tena kulala vizuri bila kuwa na wasiwasi wa sheria ipi inaweza tumika..'kutukomesha'. Ghafla kaibuka na sheria ya kutunza pesa. Na sasa hatujui kesho ataibuka na sheria gani ingine iliyopitwa na wakati ya kuwatishia wananchi...

Pesa ni pesa...pesa sio Qur'an tukufu wala sio Bible takatifu...ni human creations. Other humans wakijisikia kuikejeli iwe kweli au maigizo let them be....

Kwa kubudi kuibuka na vitisho hivi inaonesha bado wazi anaishi in the sixties..ambako na kauli za "mabeberu".

Na siasa za ujamaa na kujitegemea zilizofanana kidogo na siasa za Communism za China ya Mao na USSR ya kina Stalin.

Watu aina walishapitwa na wakati ...wanapaswa kuwekwa museums of history haraka sana....Samia afanye haraka ampumzishe huyu na sheria ya 'kuabudu' pesa kama dini ibadilishwe haraka. kuna watu wengi wanaishi kwa kutegemea pesa za kutunzwa na huwezi zuia watu kuwarushia na kudondoka chini hasa kwenye entertainment industry.

Sheria hizi za ki komunisti zifutwe na hawa wazee kama Kabudi wafutwe haraka ...walishapitwa na wakati kabla hata hawajateuliwa...
Baada ya kifo cha Kayafa nilijua nayeye kamfata Ghafla bin Vuu.....
 
Watu wanavutia unga $ jamani
IMG_2956.jpg
 
Kwenye kila utawala kuna Viongozi ambao wanawakilisha utawala huo zaidi ya wengine. Na utawala wa Magufuli huyu Prof. Kabudi aliuwakilisha zaidi ya wengine..
  • Ubabe..
  • Vitisho...
  • Amri..
  • Na Sura za kuogofya kwa watawaliwa na wananchi...huyu Kabudi alikuwa anawakilisha vyema kabisa.

Alipokuja Samia na kuanza kupotea na wananchi tukaanza tena kulala vizuri bila kuwa na wasiwasi wa sheria ipi inaweza tumika..'kutukomesha'. Ghafla kaibuka na sheria ya kutunza pesa. Na sasa hatujui kesho ataibuka na sheria gani ingine iliyopitwa na wakati ya kuwatishia wananchi...

Pesa ni pesa...pesa sio Qur'an tukufu wala sio Bible takatifu...ni human creations. Other humans wakijisikia kuikejeli iwe kweli au maigizo let them be....

Kwa kubudi kuibuka na vitisho hivi inaonesha bado wazi anaishi in the sixties..ambako na kauli za "mabeberu".

Na siasa za ujamaa na kujitegemea zilizofanana kidogo na siasa za Communism za China ya Mao na USSR ya kina Stalin.

Watu aina walishapitwa na wakati ...wanapaswa kuwekwa museums of history haraka sana....Samia afanye haraka ampumzishe huyu na sheria ya 'kuabudu' pesa kama dini ibadilishwe haraka. kuna watu wengi wanaishi kwa kutegemea pesa za kutunzwa na huwezi zuia watu kuwarushia na kudondoka chini hasa kwenye entertainment industry.

Sheria hizi za ki komunisti zifutwe na hawa wazee kama Kabudi wafutwe haraka ...walishapitwa na wakati kabla hata hawajateuliwa...
Nimekugongea Thanks umeiona, una app mpya ya JF?

Huyu Kabudu sijui Kibudu ni mkosi kwa Taifa hili.

Haya ndio mambo yananifanya nimchukie zaidi Magufuli kwa sababu licha ya ushenzi wake binafsi lakini alituharibia Taifa kwa kutuletea watu wa hovyo kama huyu Kibudu.
 
Kwenye kila utawala kuna Viongozi ambao wanawakilisha utawala huo zaidi ya wengine. Na utawala wa Magufuli huyu Prof. Kabudi aliuwakilisha zaidi ya wengine..
  • Ubabe..
  • Vitisho...
  • Amri..
  • Na Sura za kuogofya kwa watawaliwa na wananchi...huyu Kabudi alikuwa anawakilisha vyema kabisa.

Alipokuja Samia na kuanza kupotea na wananchi tukaanza tena kulala vizuri bila kuwa na wasiwasi wa sheria ipi inaweza tumika..'kutukomesha'. Ghafla kaibuka na sheria ya kutunza pesa. Na sasa hatujui kesho ataibuka na sheria gani ingine iliyopitwa na wakati ya kuwatishia wananchi...

Pesa ni pesa...pesa sio Qur'an tukufu wala sio Bible takatifu...ni human creations. Other humans wakijisikia kuikejeli iwe kweli au maigizo let them be....

Kwa kubudi kuibuka na vitisho hivi inaonesha bado wazi anaishi in the sixties..ambako na kauli za "mabeberu".

Na siasa za ujamaa na kujitegemea zilizofanana kidogo na siasa za Communism za China ya Mao na USSR ya kina Stalin.

Watu aina walishapitwa na wakati ...wanapaswa kuwekwa museums of history haraka sana....Samia afanye haraka ampumzishe huyu na sheria ya 'kuabudu' pesa kama dini ibadilishwe haraka. kuna watu wengi wanaishi kwa kutegemea pesa za kutunzwa na huwezi zuia watu kuwarushia na kudondoka chini hasa kwenye entertainment industry.

Sheria hizi za ki komunisti zifutwe na hawa wazee kama Kabudi wafutwe haraka ...walishapitwa na wakati kabla hata hawajateuliwa...

5897696E-E607-48C2-9D86-E58A4C09D256.jpeg
 
Kwenye kila utawala kuna Viongozi ambao wanawakilisha utawala huo zaidi ya wengine. Na utawala wa Magufuli huyu Prof. Kabudi aliuwakilisha zaidi ya wengine..
  • Ubabe..
  • Vitisho...
  • Amri..
  • Na Sura za kuogofya kwa watawaliwa na wananchi...huyu Kabudi alikuwa anawakilisha vyema kabisa.

Alipokuja Samia na kuanza kupotea na wananchi tukaanza tena kulala vizuri bila kuwa na wasiwasi wa sheria ipi inaweza tumika..'kutukomesha'. Ghafla kaibuka na sheria ya kutunza pesa. Na sasa hatujui kesho ataibuka na sheria gani ingine iliyopitwa na wakati ya kuwatishia wananchi...

Pesa ni pesa...pesa sio Qur'an tukufu wala sio Bible takatifu...ni human creations. Other humans wakijisikia kuikejeli iwe kweli au maigizo let them be....

Kwa kubudi kuibuka na vitisho hivi inaonesha bado wazi anaishi in the sixties..ambako na kauli za "mabeberu".

Na siasa za ujamaa na kujitegemea zilizofanana kidogo na siasa za Communism za China ya Mao na USSR ya kina Stalin.

Watu aina walishapitwa na wakati ...wanapaswa kuwekwa museums of history haraka sana....Samia afanye haraka ampumzishe huyu na sheria ya 'kuabudu' pesa kama dini ibadilishwe haraka. kuna watu wengi wanaishi kwa kutegemea pesa za kutunzwa na huwezi zuia watu kuwarushia na kudondoka chini hasa kwenye entertainment industry.

Sheria hizi za ki komunisti zifutwe na hawa wazee kama Kabudi wafutwe haraka ...walishapitwa na wakati kabla hata hawajateuliwa...
Lakini pia hata vijana walipopewa nafasi za kuongoza ndiyo kupata hawa akina Sabaya na Makonda
 
Back
Top Bottom