FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 35,836
- 40,431
Mafuta hayajawahi kuiacha nchi salama, Marekanj yuko katika kuiundia Venezuela zengwe ili aivamie kama alivyofanya Iraq kwa kumpakazia Saddam ana silaha za maangamizi, na Gadaffi walimpakazia nini sijui wakamvamia, sasa waislam wamepewa likizo, ni zamu yetu huko oil rich Venezuela