faokipe
JF-Expert Member
- Jan 20, 2015
- 1,017
- 1,172
Mm nimetoka skuli moja kwa Moja nkaanza mishe ,na nkapata pesa nzuri,nkaoa nkajenga nyumba nzuri tu!!yaani nkiwa bado 23 yrs nlikua nshamaliza kua na kila kitu ambacho kijana wa kisasa anatani kua nacho!!
Mikosi ilianza baada ya kuacha kazi baada ya kuzinguana na boss ,nkaona hizi kazi ,za kumnyenyekea mwanaume mwenzangu siwezi nkaanza maisha ya biashara wajanja Wakanipiga pesa ndefu kwenye madini !!
Nkakimbilia mwanza nkaanzisha kambi ya uvuvi nkawa fresh pesa ikakubali hatari !!kumbe zile shuguli Zina ushirikina sijapata kuona!!baada ya muda was miaka 6 ya kua kwenye uvuvi nlijikuta Nina madeni kila Kona!!hakuna kitu kibaya Kama madeni unakua mtumwa na unakua muoga (nidhamu)ya uoga
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikosi ilianza baada ya kuacha kazi baada ya kuzinguana na boss ,nkaona hizi kazi ,za kumnyenyekea mwanaume mwenzangu siwezi nkaanza maisha ya biashara wajanja Wakanipiga pesa ndefu kwenye madini !!
Nkakimbilia mwanza nkaanzisha kambi ya uvuvi nkawa fresh pesa ikakubali hatari !!kumbe zile shuguli Zina ushirikina sijapata kuona!!baada ya muda was miaka 6 ya kua kwenye uvuvi nlijikuta Nina madeni kila Kona!!hakuna kitu kibaya Kama madeni unakua mtumwa na unakua muoga (nidhamu)ya uoga
Sent using Jamii Forums mobile app