Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,921
ulikuwa unajua ufundi?, labda kama walikuwa wanakulipa mshahara mdogoNilishawai kuwa tandi boy nikiwa na umri wa miaka 15 ndo nimetoka maliza darasa la saba tu hapo kazi ya utandi boy ni ngumu sana aisee tulikuwa tuna safiri dar kongo na 113 aisee ctokuja sahau yale maisha...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app