Wakati umefika kwa Serikali kusitisha Ethiopian Airline kutua Tanzania

Ole

JF-Expert Member
Dec 16, 2006
2,157
975
Ni jukumu la serikali kusitisha mara moja safari za Ethiopian Airlines kutumia viwanja vyetu vya ndege kutokana na ugonjwa wa Corona Virus kutokana na shirika hilo kuendelea kufanya safari zake kwenda China ambako kuna ugonjwa huo.

Huu ni wakati wa kuwafikiria wananchi wa Tanzania kuwa salama zaidi kuliko kufanya biashara.
 
Time will tell but we need to take extra measures to make sure that people are safe. We do not need to take unnecessary risk.
 
Tuna shida nyingi kuliko hiyo Coronavirus/Covid-19. Tuna raia wengi wanakufa kwa sababu ya njaa, kipindupindu, utapiamlo, ajali za bajaji, pikipiki..na mengine mengi. Hayo ya Corona tuwaachie wenyewe kwanza!
 
Ni jukumu la serikali kusitisha mara moja safari za Ethiopian Airlines kutumia viwanja vyetu vya ndege kutokana na ugonjwa wa Corona Virus kutokana na shirika hilo kuendelea kufanya safari zake kwenda China ambako kuna ugonjwa huo.

Huu ni wakati wa kuwafikiria wananchi wa Tanzania kuwa salama zaidi kuliko kufanya biashara.
Ungeshauri ATCL isitishe safari za Mumbai maana India inapakana na China na tayari ina ugonjwa huu mbaya.
 
Ni jukumu la serikali kusitisha mara moja safari za Ethiopian Airlines kutumia viwanja vyetu vya ndege kutokana na ugonjwa wa Corona Virus kutokana na shirika hilo kuendelea kufanya safari zake kwenda China ambako kuna ugonjwa huo.

Huu ni wakati wa kuwafikiria wananchi wa Tanzania kuwa salama zaidi kuliko kufanya biashara.


Kuliko kuzuia ndege, si bora tuzuie abiria wanaotoka china?

wewe unadhani ingekuwa corona virus asili yake ni tanzania, raia wetu wangeruhusiwa kukanyaga china?

kwa ndege unaionea, maana najua ndege yao inayotoka china kwenda tz lazma ifike addis halafu pale, mchukue ingine to dar
 
Ungeshauri ATCL isitishe safari za Mumbai maana India inapakana na China na tayari ina ugonjwa huu mbaya.

Habari imefanyiwa kazi lakini hata mashirika ambayo bado hayazingatii usalama wa wanapokwenda ni kuyazuia ili kuchelewesha huu ugonjwa ambao ni hatarishi kwa maisha ya binadamu. Watanzania tuangalie kinga kabla ya kutibu gharama itapungua.
 
Ni jukumu la serikali kusitisha mara moja safari za Ethiopian Airlines kutumia viwanja vyetu vya ndege kutokana na ugonjwa wa Corona Virus kutokana na shirika hilo kuendelea kufanya safari zake kwenda China ambako kuna ugonjwa huo.

Huu ni wakati wa kuwafikiria wananchi wa Tanzania kuwa salama zaidi kuliko kufanya biashara.

Haina maana yeyote kuzuia Ethiopian Airlines kwani 'Tumeambiwa wachina wataendelea kuja maana ni marafiki zetu wa muda mrefu, na wanarejea kuendelea na kazi na wako fit kiafya'

Pambana kuomba Mungu atuepushe na janga....kwa ufupi hii kitu kuna hazijali kabisa...niko nchi fulani waathirika wamefika 800 na nchi yenye uwezo ila hawajali lolote watu wanachapa kazi...hata ukiwa na dalili hawataki kupima kwanza wanakupa siku saba kwanza ukiona hali imekuwa tete ndio uwapigie.
 
Bado nina imani Serikali yetu itasitisha safari zote za wageni kutoka nje ili kuokoa maisha ya Watanzania wengi.
 
12:10

Travellers in tears in Amsterdam airport
Gavin Lee

BBC Europe reporter

Amsterdam Schiphol Airport, one of the biggest transport hubs in Europe, now feels like a small regional airport because of the lack of passengers.
There is one notable queue, at customer services, and it chicanes right around the side of Departure Hall 3. These are people trying to work out how to get home, and how to travel to the countries that are closing their borders. One significant travel ban is the US one imposed by President Trump, which has been in force since the early hours. It means airport staff here must turn away anyone who has been in one of the 26 European countries that share a passport-free travel agreement known as the Schengen Zone over the past two weeks.
Although US citizens are exempt, I’ve spoken to a large group of American students in the queue who were backpacking around Europe but have cut their holiday short by two weeks to try to get home now. Karen, 21, from Seattle organised the trip. She lifts her face mask to tell me there had been many arguments between the group about whether they should leave or stay. They ultimately voted to go in case of any further restrictions.
Further back in the queue, Stefania, an Italian studying in Bulgaria, is trying to return home to Sicily, but all flights to Italy are cancelled. She’s trying, like many in the queue, to get a refund, and then to work out another way to travel.
In the past 48 hours there has been a domino effect on countries around the world imposing full or partial travel bans for foreign citizens - India, Russia, Norway, Israel and Argentina to name a few in a growing list.
I’ve seen several people in tears here as they leave customer services. There are so many questions for the staff here. There’s now a 90-minute wait for those at the back of the queue. It’s an enormous task for the airlines, which are dealing with an unprecedented crisis.


Note: Credit BBC News
 
1584201057631.png


Nchini Wingereza super markets zimeanza kupungukiwa na bidhaa baada ya wengi kuanza kujilimbikizia bidhaa mbali mbali kutokana na sintofahamu ya ugonjwa wa corona … . .​
 
Back
Top Bottom