Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,761
- 71,144
Nimesikiliza vizuri hotuba ya Rais kuhusu siasa kwa mwaka 2023 na nimeona ni wakati muafaka sasa kwa CHADEMA kuchukua ruzuku yake kutoka serikalini hata kama kiwango sio sahihi kutokana na uchaguzi kuwa haukuwa huru na haki.
Wanachama na wafuasi wa CHADEMA ni walipa kodi na pesa zao sasa zinatumika kwa wengine basi na wao chama chao kichukue kilichopo ili kugharamia hii mikutano inayoanza kurindima nchi nzima na inahitaji fedha pia.
Hotuba ya Rais inaonyesha wazi kuwa mabadiliko yanayotokea ni juhudi za msukumo wa CHADEMA ndio zimezaa haya. Chukueni pesa hizo zisaidie chama kwa sasa.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Wanachama na wafuasi wa CHADEMA ni walipa kodi na pesa zao sasa zinatumika kwa wengine basi na wao chama chao kichukue kilichopo ili kugharamia hii mikutano inayoanza kurindima nchi nzima na inahitaji fedha pia.
Hotuba ya Rais inaonyesha wazi kuwa mabadiliko yanayotokea ni juhudi za msukumo wa CHADEMA ndio zimezaa haya. Chukueni pesa hizo zisaidie chama kwa sasa.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app