Pearce
JF-Expert Member
- Dec 15, 2018
- 577
- 1,381
Hakuna Siri tena wakati na aina za siasa zilizowafanya waogopwe na kuwa tishio ( Ndizo walizozipenda) hazina nafasi tena
Na uteuzi wa tume mpya na mwenendo wa siasa za mama ndani na nje ya CCM ni wazi tu "Wakati ni Ukuta" kwao hawawezi kuuvuka zaidi ya Neema za Mungu tu ziingilie kati
Kete Yao ya mwisho ilikua kujaribu weka hamshahamsha kwa wananchi baada ya siasa za ndani ya chama kuwatupa
Bahati mbaya makundi mengi walipokuwa wakilia haina ya utawala huyu mzee Ndugai na wenzie waliokuwa wakila mema walipiga kelele kushangilia na kusema "atake asitake ataongezewa"
Sasa mambo yamebadilika sana na hakuna tena future....Polepole alipiga hesabu zake akakutana na kitu hajatarajia na Mzee Ndugai vilevile kala spana za kutosha
Akijidanganya na kiburi alichozoea haoni wapi alipokosea sasa anahamsha ukabila ndio kichaka kilichobakia ili aonewe huruma na wanadodoma
Na uteuzi wa tume mpya na mwenendo wa siasa za mama ndani na nje ya CCM ni wazi tu "Wakati ni Ukuta" kwao hawawezi kuuvuka zaidi ya Neema za Mungu tu ziingilie kati
Kete Yao ya mwisho ilikua kujaribu weka hamshahamsha kwa wananchi baada ya siasa za ndani ya chama kuwatupa
Bahati mbaya makundi mengi walipokuwa wakilia haina ya utawala huyu mzee Ndugai na wenzie waliokuwa wakila mema walipiga kelele kushangilia na kusema "atake asitake ataongezewa"
Sasa mambo yamebadilika sana na hakuna tena future....Polepole alipiga hesabu zake akakutana na kitu hajatarajia na Mzee Ndugai vilevile kala spana za kutosha
Akijidanganya na kiburi alichozoea haoni wapi alipokosea sasa anahamsha ukabila ndio kichaka kilichobakia ili aonewe huruma na wanadodoma