babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,221
- 3,166
UK na nchi nyingine za Ulaya wapo mbioni kupitisha sheria ya kuzuia watu kumiliki vito vyovyote vyenye pembe za ndovu hata kama kilitengezezwa in 1960s. Sheria hii ni kwa ajili ya kuisadia Africa hasa nchi kama Tanzania na Kenya ambazo zimekuwa zikitajwa tajwa kwenye hii biashara haramu.
Prince William ambaye alikutana na raisi Magufuli ikulu katika kuhamasisha vita ya anti poaching nimeshangaa kusoma leo utetezi kwenye sakata la Akram Aziz kwamba aliruhusiwa kununua pembe za ndovu...this makes a mockery of anti poaching campaign.
Baadhi ya sehemu ya utetezi uliotolewa na Kilombero North Safaris hapo chini:
Kenya wameonyesha nia ya kweli ya kupambana na hii biashara ya haramu:
Prince William ambaye alikutana na raisi Magufuli ikulu katika kuhamasisha vita ya anti poaching nimeshangaa kusoma leo utetezi kwenye sakata la Akram Aziz kwamba aliruhusiwa kununua pembe za ndovu...this makes a mockery of anti poaching campaign.
Britain to ban ivory items regardless of their age.
LONDON (Reuters) - Britain will ban the sale of ivory items regardless of their age in an effort to restrict the illegal ivory trade, tackle poaching and help protect elephants, the government said on Tuesday.
New legislation will create the toughest ban on ivory in Europe and one of the toughest in the world, it said, with a prohibition on the sale of nearly all antiques containing ivory.
International commercial trade in ivory has been illegal since 1990 and the sale of raw African Elephant ivory of any age is not authorized in Britain.
But currently, worked items produced before 1947 can be traded within Britain or other EU countries, as can items produced after 1947 that have government certificates.
Environment Secretary Michael Gove said the tougher restrictions, which follow a public consultation, would demonstrate Britain’s belief that “the abhorrent ivory trade should become a thing of the past”.
Ivory should never be seen as a commodity for financial gain or a status symbol, so we will introduce one of the world’s toughest bans on ivory sales to protect elephants for future generations,” he said in a statement.
There will be exemptions for antique items that contain less than 10 percent ivory by volume, some old musical instruments, and the rarest and most important items of their type, including portrait miniatures painted on slivers of ivory.
The World Wide Fund for Nature (WWF) said around 55 African elephants were killed for their ivory a day, with their tusks turned into carvings and trinkets.
“This ban makes the UK a global leader in tackling this bloody trade, and it’s something WWF has been fighting hard for,” chief executive Tanya Steele said.
“But if we want to stop the poaching of this majestic animal, we need global action. We hope the UK will continue to press countries where the biggest ivory markets are, most of which are in Asia, to shut down their trade too.”
Baadhi ya sehemu ya utetezi uliotolewa na Kilombero North Safaris hapo chini:
upekuzi huo zimekutwa pembe sita za ndovu ambazo zina mihuli na vibali vyote vya serikali na pembe zote zina ‘serial numbers’ zikionyesha zilipatikana mwaka 2014. Hii ni kwa mujibu wa sheria.
Kenya wameonyesha nia ya kweli ya kupambana na hii biashara ya haramu: