mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Wakati Tundu Lissu Anasema Ripoti Ya Madini Ya Prof Osoro Ni PROFESSORIAL RUBBISH Mlimtukana, Mkambeza Na Kumpiga Risasi Sasa Nendeni Mkasome Makubaliano Kati Ya Barrick Na Serikali Yenu Ni Kichefuchefu Kitupu! Waliokua Wanapigana Vita Ya Uchumi Wamegaragazwa Vibaya Na Mabeberu
Serikali Na Kampuni Ya Barrick Wamekubaliana Kuwa Bunge La Tanzania Halitaruhusiwa Kutunga Sheria Yeyote Ambayo Itabadili Makubaliano Yao Na Kodi Zote Zilizokuwa Zinafanya Kazi Wakati Wa Kuingia Makubaliano Hazitaweza Kubadilishwa Kipindi Chote Ambacho Barrick Watakuwa Tanzania
MAKUBALIANO KATI YA SERIKALI NA BARRICK
1) Kodi Bilion 552 Wamesamehewa
2) Wataendelea Kuweka Hela Zao Benki Za Nje
3) Wataendelea Kutumia Mahakama Za Nje Kukiwa Na Mgogoro
4) Hawadaiwi Trilion 400 Ulikuwa Uongo
5) Hawatajenga Smelter Na Wataendelea Kusafirisha Mchanga Nje
Hivi Nyie Mnapambana Na UFISADI Au MNAIGIZA?
Mchokozi
Serikali Na Kampuni Ya Barrick Wamekubaliana Kuwa Bunge La Tanzania Halitaruhusiwa Kutunga Sheria Yeyote Ambayo Itabadili Makubaliano Yao Na Kodi Zote Zilizokuwa Zinafanya Kazi Wakati Wa Kuingia Makubaliano Hazitaweza Kubadilishwa Kipindi Chote Ambacho Barrick Watakuwa Tanzania
MAKUBALIANO KATI YA SERIKALI NA BARRICK
1) Kodi Bilion 552 Wamesamehewa
2) Wataendelea Kuweka Hela Zao Benki Za Nje
3) Wataendelea Kutumia Mahakama Za Nje Kukiwa Na Mgogoro
4) Hawadaiwi Trilion 400 Ulikuwa Uongo
5) Hawatajenga Smelter Na Wataendelea Kusafirisha Mchanga Nje
Hivi Nyie Mnapambana Na UFISADI Au MNAIGIZA?
Mchokozi