Utamuachaje hapo Mamvi na Kibogoyo wa maegesho.Mtu wa kwanza kumlaani hayupo duniani kwa hiyo tutailaani ccm na wabunge wake
Hapo mpaka mzee kingunge yumo, mzee sumaye yumo, Lowassa na wengine wengi ila kwa sasa wamefunguka macho wakipewa nafasi tena hawawezi kurudia makosa tenaUtamuachaje hapo Mamvi na Kibogoyo wa maegesho.
Hapo mpaka mzee kingunge yumo, mzee sumaye yumo, Lowassa na wengine wengi ila kwa sasa wamefunguka macho wakipewa nafasi tena hawawezi kurudia makosa tenaUtamuachaje hapo Mamvi na Kibogoyo wa maegesho.
Mtu wa kwanza kumlaani hayupo duniani kwa hiyo tutailaani ccm na wabunge wake
Utamuachaje hapo Mamvi na Kibogoyo wa maegesho.
Aliyeanza kuikakaa rasimu ya Warioba ni fisadi Kikwete katika hotuba yake Bungeni.
Ccm wanaiogopa rasimu pendekezwa kama sungura anavyo muogopa simbaCCM wanategemea huu udhaifu hapa
Iliyopendekezwa
CCM wako tayari kuua maelefu ya raiya ili kuipinga hii katiba pendekezwa.
Majizi ccmMtu wa kwanza kumlaani hayupo duniani kwa hiyo tutailaani ccm na wabunge wake
Mtu wa kwanza kumlaani hayupo duniani kwa hiyo tutailaani ccm na wabunge wake
Pandikizi la ccmLipumba aliongoza Malofa kususia Katiba Pendekezwa yenye Sheria ya kuhoji ushindi wa Rais Uchaguzin na kupunguza Madaraka ya Rais
'Mtaka vyote kwa Pupa hukosa vyote'
Pole pole na mswahiliUtamuachaje hapo Mamvi na Kibogoyo wa maegesho.
Wengi wao ni ccmMkuu tatizo la nchi yetu ni uwepo wa idadi kubwa ya WAJINGA. Wanasiasa wanayo bahati ya kufanya SIASA katika taifa hili. Ukiangalia kwa makini,ELIMU yetu inachezewa kwa manufaa ya SIASA,wanajua kizazi cha WAJINGA kikielimika itakuwa balaa kwao. Sioni dalili za katiba mpya yenye masuala yenye afya kwa taifa ikipatikana bila kuwa na taifa la watu walio elimika na kujua NAFASI ZAO katika mustakbali wa taifa.
BY KADA...