Wakati tunajenga SGR kwa gharama kubwa upande wa pili tunabomoa urithi wa mzungu

Medecin

JF-Expert Member
Nov 29, 2011
7,896
21,303
Picha hizi nimezipiga mahali fulani sitapataja jina maana ntahatarisha vibarua vya watu lakini uhalisia ni kuwa wananchi wameanza kung'oa mataluma ya reli na kwenda kuyatumia kwa shughuli zao nisizozijua. Hii ni baada ya serikali kuitelekeza reli hii kwa muda mrefu bila matumizi yeyote.

Tafakuri ninayowaachia leo je ni sahihi kutumia matrilioni ya walipa Kodi kujenga reli mpya wakati iliyopo tumeshindwa kuilinda na kuitumia? Je tukimaliza kujenga SGR, utawala utakaokuja miaka ijayo utaweza kulinda miundombinu yake? Au yatajirudia hayahaya!

Picha kwa hisani yangu
20181004_100620.jpeg
20181004_100640.jpeg
20181004_100611.jpeg
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ninachojua ni kimoja tu; Kama ukikiona kipande cha reli karibu na wewe, hata kama ni cha futi moja tu, kimbia eneo la tukio mkwani ukikamatwa hapo kwenye eneo ni sawa na umekutwa mahali mtu amekatwakatwa na wasiojulikana ukakutwa wewe. Waweza ozea jela mwanangu.
Kutwa na bangi kiroba kizima ila sio kipande cha reli au taruma
 
Ninachojua ni kimoja tu; Kama ukikiona kipande cha reli karibu na wewe, hata kama ni cha futi moja tu, kimbia eneo la tukio mkwani ukikamatwa hapo kwenye eneo ni sawa na umekutwa mahali mtu amekatwakatwa na wasiojulikana ukakutwa wewe. Waweza ozea jela mwanangu.
Kutwa na bangi kiroba kizima ila sio kipande cha reli au taruma
Naona unafundisha watu uoga...
 
Acha uoga
Ninachojua ni kimoja tu; Kama ukikiona kipande cha reli karibu na wewe, hata kama ni cha futi moja tu, kimbia eneo la tukio mkwani ukikamatwa hapo kwenye eneo ni sawa na umekutwa mahali mtu amekatwakatwa na wasiojulikana ukakutwa wewe. Waweza ozea jela mwanangu.
Kutwa na bangi kiroba kizima ila sio kipande cha reli au taruma
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Iliyokuwepo ime expire na haifai tena kwa mayumizi km reli.
Picha hizi nimezipiga mahali fulani sitapataja jina maana ntahatarisha vibarua vya watu lakini uhalisia ni kuwa wananchi wameanza kung'oa mataluma ya reli na kwenda kuyatumia kwa shughuli zao nisizozijua. Hii ni baada ya serikali kuitelekeza reli hii kwa muda mrefu bila matumizi yeyote.

Tafakuri ninayowaachia leo je ni sahihi kutumia matrilioni ya walipa Kodi kujenga reli mpya wakati iliyopo tumeshindwa kuilinda na kuitumia? Je tukimaliza kujenga SGR, utawala utakaokuja miaka ijayo utaweza kulinda miundombinu yake? Au yatajirudia hayahaya!

Picha kwa hisani yanguView attachment 971708View attachment 971709View attachment 971710
 
Naona unafundisha watu uoga...
Hapana mkuu. Wewe nenda kanunue kipande au vipande vya reli ukajengee choo. Huwa vinahimili sana uzito hata gari yako uta paki juu yake. Siku unavisafirisha, pitia Samora ujeingilia Salender huku umefunga kitambaa chekundu nyuma ya gari lako.
Liwe gari la kukodi lakini kwani vyote vitakuwa mali ya taifa teule la Tz. Na wewe ukanyee ndoo Segerea street. We si jasiri?? Jaribu hili
 
Acha uoga
Nimeshamjibu mwenzio kuwa; Nenda kanunue mataruma mabovu na mavipande ya reli, katisha nayo pale Samora Ave. Uje tokelezea Salender kuelekea Msasani. Ili usisumbuliwe na Trafiki, fungia vitambaa vyekundu nyuma ya gari, P/up yako.
Ila ushauri nakupa kuwa, Kodi gari kwa sababu, kabla hujavuka Trafik light za Salender nadhani utakuwa umefuatwa na "Nyuki" kiasi kwamba utanyea ndoo za Segerea miaka ya kuhesabu kuliko mzee Ruge na Singh. Jaribu kama una stress unataka kwenda abroad kupumzika
 
Hapana mkuu. Wewe nenda kanunue kipande au vipande vya reli ukajengee choo. Huwa vinahimili sana uzito hata gari yako uta paki juu yake. Siku unavisafirisha, pitia Samora ujeingilia Salender huku umefunga kitambaa chekundu nyuma ya gari lako.
Liwe gari la kukodi lakini kwani vyote vitakuwa mali ya taifa teule la Tz. Na wewe ukanyee ndoo Segerea street. We si jasiri?? Jaribu hili
Sasa hio ni scenario tofauti na ulivyosema ukiona chuna cha reli kimekaa pembeni inabidi ukimbie..pili kama umenunua kitu cha dili huwezi pita route hio maana kwa maelezo hayo ni kwamba utakua umenunua hicho chuma mjini vitu kama hivyo haviuzwi mjini nasisitiza mkuu acha uoga
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ni kweli reli imetelekezwa inauma ukiangalia mfano reli za kutoka bandarini dar kwenda kwenye ma godown na viwanda zinakufa hivi hivi !
Mfano kuna reli imetoka bandarini inafika hadi kurasini ,huwa nawaza kwanini basi wasingeongeza kujenga kipande kingine kiunge kurasini hadi mbagala then waweke treni ya mwakyembe isaidie usafiri upande huo ?
Ingekua Ni bora kuliko kusubiria ujenzi wa barabara za mwendokasi
 
Picha hizi nimezipiga mahali fulani sitapataja jina maana ntahatarisha vibarua vya watu lakini uhalisia ni kuwa wananchi wameanza kung'oa mataluma ya reli na kwenda kuyatumia kwa shughuli zao nisizozijua. Hii ni baada ya serikali kuitelekeza reli hii kwa muda mrefu bila matumizi yeyote.

Tafakuri ninayowaachia leo je ni sahihi kutumia matrilioni ya walipa Kodi kujenga reli mpya wakati iliyopo tumeshindwa kuilinda na kuitumia? Je tukimaliza kujenga SGR, utawala utakaokuja miaka ijayo utaweza kulinda miundombinu yake? Au yatajirudia hayahaya!
Atakaelaumiwa ni huyo aliyeshindwa kuitunza. Mimi ninavyoona tatizo la Tanzania ni kuruhusu viongozi wakubwa wawe wafanyabiashara! mtu kama JK mwanae aliingiza Lori kipindi kile zaidi 100 sijui unatarajia mzee baba angefufua reli ili mwanae akose soko la kusafirishia mizigo biashara yake iinuke?
 
Mamlaka husika zichukue hatua. hii sio sahihi kabisa. reli lazima ilindwe. nilimsikia rais wanaendelea na ukarabati wa reli nchi nzima.
 
Hivyo vyuma vinaonekana vimechoka sana haviwezi kutumika tena.
Halafu kumbuka serikali ipo inafufua Dar to Arusha railway na yawezekana picha hizo ni za reli hiyo.
Kwa ufupi tukitaka kufufua hiyo reli hivyo vyuma vyako haviwezi kutumika tena.
 
Kwa hiyo turuhusu waendelee kuiba ama!
Hivyo vyuma vinaonekana vimechoka sana haviwezi kutumika tena.
Halafu kumbuka serikali ipo inafufua Dar to Arusha railway na yawezekana picha hizo ni za reli hiyo.
Kwa ufupi tukitaka kufufua hiyo reli hivyo vyuma vyako haviwezi kutumika tena.
 
Picha hizi nimezipiga mahali fulani sitapataja jina maana ntahatarisha vibarua vya watu lakini uhalisia ni kuwa wananchi wameanza kung'oa mataluma ya reli na kwenda kuyatumia kwa shughuli zao nisizozijua. Hii ni baada ya serikali kuitelekeza reli hii kwa muda mrefu bila matumizi yeyote.

Tafakuri ninayowaachia leo je ni sahihi kutumia matrilioni ya walipa Kodi kujenga reli mpya wakati iliyopo tumeshindwa kuilinda na kuitumia? Je tukimaliza kujenga SGR, utawala utakaokuja miaka ijayo utaweza kulinda miundombinu yake? Au yatajirudia hayahaya!

Picha kwa hisani yanguView attachment 971708View attachment 971709View attachment 971710

tanzania inacho ni furahisha kuwa cha zamani akina maana
 
Atakaelaumiwa ni huyo aliyeshindwa kuitunza. Mimi ninavyoona tatizo la Tanzania ni kuruhusu viongozi wakubwa wawe wafanyabiashara! mtu kama JK mwanae aliingiza Lori kipindi kile zaidi 100 sijui unatarajia mzee baba angefufua reli ili mwanae akose soko la kusafirishia mizigo biashara yake iinuke?
Ana kampuni?
 
Back
Top Bottom